Bado Deadline Si Ilikuwa Juzi TuuHivi na hawa wameita interview?
Bado Deadline Si Ilikuwa Juzi TuuHivi na hawa wameita interview?
Nimekupenda bure kwa jibu lako.Haaa haya acha tu tufanye ila tutakutana kwenye oral ambayo ndiyo mwisho wa Google 😀
Sasa mkuu kuwa kwenye ajira ndiyo huruhusiwi kuomba sehemu zingine? Wewe Umesharidhika na ulipo? Utastaafia hapo hapo?. Hiyo ndiyo dream job yako?, mshahara unakutosha ?changamoto unazozipata hapo for your career development zinakutosha hutaki kuongeza? There are a thousand reasons to look for other opportunities/Green pastures out there 😛
Ahsante mkuu👏 bila kusahau napenda na mshahara mpya mnono 😉Nimekupenda bure kwa jibu lako.
Napenda watu wanaopenda changamoto mpya na vitu vipya.
Haaahhaahha mwanamke kma ww nikikupata tunakuwa tunashindana tu mambo ya maendeleo tunapeana ideas za kufa mtu aisee upo very bright kwa kweliAhsante mkuu👏 bila kusahau napenda na mshahara mpya mnono 😉
Huyo hataki kukusaidia ....jibu lake ni la Uongo...Nilimfata,ili dogo apate walau pakujishikisha! Jamaa akasema hakuna kitu kaka,ni gumashi kuhadaa watu tu,na wali publish hadi kwenye gazeti kabisa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Umejikimbiza labdaOral nmeikimbiza vbya mno Tukutane kazinii pale kuna
Wow I'm grateful mkuu😍 ila hata siko bright hivo nipo kawaida tu, ila wewe nahisi uko vizuri 👍 ahsante lknHaaahhaahha mwanamke kma ww nikikupata tunakuwa tunashindana tu mambo ya maendeleo tunapeana ideas za kufa mtu aisee upo very bright kwa kweli
Aiseee hiii ni kweli walitoa nafasi kama 1000 hiviHizi post kuna wakati wanafanyisha watu interview na hawachukui,au wanatangaza tangazo la kazi,na hawaiti watu,kuna jamaa yangu was a HR Manager huko Yap Merkez,jamaa alisema hizi kazi nazitangaza lakini ni gumashi sio kweli,hatuiti hata mmoja,na kweli hadi leo kimya!
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupe lonja basi kidogo nduguOral nimekimbizaa sanaa Tukutane kazini
Sana mzeee mpaka leo kimya
Oral nimekimbizaa sanaa Tukutane kazini
Naona kimyaJamani mliofanya oral kuna aliyeitwa kazini? Mana naona kimya kwangu isije kuwa najipa matumaini kumbe tayari cku nyingi
Mbona wameitwa muda tu..shemeji yako wamempanga Iringa huko ndio nataka nimsafirishe kesho.Hivi kuna watu walioitwa kazini humu ndani