Interview tips

Niache Nteseke

JF-Expert Member
Apr 29, 2020
1,954
2,166
Screenshot_20200601-195253.png

Nyongeza :

Jitahidi usikose peni hata saa kama utakuwa nayo. Pengine hata diary au notebook will do. Thanks.
 
Hebu tusaidiane wakuu unapoingia kwenye chumba cha usaili ukakuta panel nzima ya interview iko pale halafu ukakuta kuna kiti mbele yao utawasalimia tu na kufikia kukaa au utasubiri wao ndio wakupe ruhusa ya kukaa...?
 
Hebu tusaidiane wakuu unapoingia kwenye chumba cha usaili ukakuta panel nzima ya interview iko pale halafu ukakuta kuna kiti mbele yao utawasalimia tu na kufikia kukaa au utasubiri wao ndio wakupe ruhusa ya kukaa...?
Utawasalimia then utasubiri wakuamuru ukae,ukipita ukimya wa dakika moja hawajaniruhusu,nitaomba kuketi.
 
Back
Top Bottom