Malafyale01
Member
- Feb 10, 2017
- 56
- 24
Wadau poleni na kazi. Jamani kama kuna mtu aliomba nafasi ya kazi katika shirika la save the children tanzania week tatu zilizopita na anajua status yake kama wameitwa interview au la maana walisema baada ya week mbili watatupa mrejesho kwa hatua ya pili lakin naoma kwangu kimya isiwe nasubiri kumbe mambo ndo yameisha hivo. Msaada tafadhari..