TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,891
- 11,288
sijakuelewa mkuu... naomba mwanga zaidimwombe radhi muumba aliekuleta dunian kabla atujakusamahe dhambi zingine ata tukikusamehe kama ujasemehea na aliekuleta ukumu iko pale pale
karibu tena
sijakuelewa mkuu... naomba mwanga zaidimwombe radhi muumba aliekuleta dunian kabla atujakusamahe dhambi zingine ata tukikusamehe kama ujasemehea na aliekuleta ukumu iko pale pale
mwombe radhi muumba aliekuleta dunian kabla atujakusamahe dhambi zingine ata tukikusamehe kama ujasemehea na aliekuleta ukumu iko pale pale
Dah wazee,nimetaabika nayo sana hii audio kui-upload manake hapa janvini naona kila nikiiweka inaniambia file is large coz ni audio ya dakika 25 na ina size ya 12MB,sasa na net yangu hii ya zain datasiku imenipa taabu kweli kuiweka ila bado sijachoka naangalia uwezekano wa ku-upload sehemu nyingine n hapa iwe kama link uicheki,ila kama kuna mtu hapa dar net yake ina speed kubwa ya ku-upload tuwasiliane nikuletee watu waicheki manake watan'toa roho na nimeshapromic,namba yangu ni 0655457605, na jioni nitaenda kumsikiliza hawa ng'umbi pumba zake hapa jeshini mabibo na nitawajuza yaliyojiri coz najua tu hana jipya atachemka tu pale jukwaan
huyu jamaa ni noma wazee, kafanya interview moja bomba sana,ni sawa na ile aliyoifanya DK SLAA wiki mbili zilizopita na george kanuti njogopa wa claus ingawa sikuwahi kuirekodi lakini ya huyu mchungaji nishairekodi na nitaiweka hapa very soon kwani nina pirika kidogo na haka kasikukuu hapa nyumbani.......stay tuned
Hivi mnaotaka hiyo inteview mpatiwe kama ni haki yenu mnafikiri huyo mtu atawaletea vipi na kwa gharama ya nani?