Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,100
- 6,022
huyu jamaa ni noma wazee, kafanya interview moja bomba sana,ni sawa na ile aliyoifanya DK SLAA wiki mbili zilizopita na george kanuti njogopa wa claus ingawa sikuwahi kuirekodi lakini ya huyu mchungaji nishairekodi na nitaiweka hapa very soon kwani nina pirika kidogo na haka kasikukuu hapa nyumbani.......stay tuned