Lt Gen. Kayumba Nyamwasa: Why I fled Rwanda'

Nilishasema " Huwezi kudanganya watu wote muda wote" Kuna siku ukweli wa genocide utawekwa wazi kuwa hii ni political tool ya kagame ili du ighilibu dunia. Waliokufa wengi waliuawa na RPF na wala si na wahutu wenye msimamo mkali. Walikatwa vichwa ili iwe vigumu kutaambua identiy yao. Wahutu hawana imani kabisa na Kagame lakini hawana la kufanya, wamezungukwa dunia nzima. Kagame amekuwa kama muungu mdogo, ni mtaalamu wa propoganda na kupika stori! Siku moja ukweli utakuwa wazi.

....another garbage,endelea kusubiri huo ukweli wako wa kufikirika!
 
Nilishasema " Huwezi kudanganya watu wote muda wote" Kuna siku ukweli wa genocide utawekwa wazi kuwa hii ni political tool ya kagame ili du ighilibu dunia. Waliokufa wengi waliuawa na RPF na wala si na wahutu wenye msimamo mkali. Walikatwa vichwa ili iwe vigumu kutaambua identiy yao. Wahutu hawana imani kabisa na Kagame lakini hawana la kufanya, wamezungukwa dunia nzima. Kagame amekuwa kama muungu mdogo, ni mtaalamu wa propoganda na kupika stori! Siku moja ukweli utakuwa wazi.
...baba yako sarkozy kaenda mwenyewe Kigali kuweka mambo sawa baada ya kujiona mafala tuu
spaceout.gif
spaceout.gif
spaceout.gif
spaceout.gif
spaceout.gif
spaceout.gif
spaceout.gif
spaceout.gif

4387843900_ed2aa8b521.jpg
 
Kanyabwoya said:
Kagame alichotwambia ni kwamba alifuata Nterahamwe Congo na ninaamini hivyo mpaka leo. Iwapo aliua Wakongo wasiokuwa na hatia, unarmed, just for the sake of killing, that was very wrong. Wakongo ni jirani zetu na ndugu zetu kama walivyo wanyarwanda na warundi! Sasa je ni kweli, that you one will have to prove it before the court! Ninachojua mimi, iwe Kagame au M7 na sasa mnamsema na marehemu Savimbi kule wanafuata kuiba, lakini je kuna watu wanaiba kama watanzania, milioni 800 za TASAF zimetafunwa kwenye wilaya yangu bila kumfikia hata mlengwa mmoja! (kamfano kadogo tu). Msukumo mkubwa wa ndani Kongo (Eastern) ni kupora mali ambazo hazina ulinzi, kwani Kinshasa iko mbali mno na Kabila hawezi fanya kitu. Lakini ikumbukwe kuwa Nterahamwe in Congo was a real threat, so Kagame had to pursue them, since Kabila (both marehemu na mtoto wake) couldn't tame them given the nature of The vast Congo. Mimi imani yangu ni kuwa aliua wanajeshi Nterahamwe, ex FAR na their Hutu accomplices, na pengine wakongo waliokuwa wanasaidia adui zake ambao nao wanakuwa adui zake kwa mantiki hiyo. Lakini iwapo aliua wakongo tu, kwa vile ni wakongo hilo ni kosa kubwa. Lakini katika vita ya kisasa, naamini hakuna mpiganaji anapenda kujiongezea maadui bila sababu, hiyvo sababu ya kuua wakongo mimi hainingii akilini. Je si kwamba na yeye Kagame alikuwa na washirika wake wakongo? Iwapo aliiba mali, basi walioiba ni wengi na wakamatwe wote, akiwamo M7, na makampuni ya kimataifa yakiwemo ya Marekani, Uchina, Ulaya na kwingineko. Siyo yale ya kwetu ya kukamata fisadi wachache wakati wengine wengi mapapa wanaachwa. Hivi hizo resources za kukamata wahalifu wote wa Great Lakes region zitatoka wapi, mbona wengi na uharifu umefanyika kwa miongo mimgi sana!

Kanyabwoya,

..ni kweli Kagame alidai anakwenda DRC kuwafuatilia Interahamwe. Lakini baada ya kuingia DRC facts on the ground zinaonyesha kwamba his army[RPF] started killing indescriminately, and plundering DRC's resources.

..umedai kwamba anaamini kauli ya Kagame kuhusu kuingiza majeshi yake DRC, lakini je una hakika madai hayo yakihakikiwa na independent observers yatasimama?

..sasa Kagame ana maelezo gani kwa mamilioni ya Wacongo waliouawa ktk maeneo yaliyokuwa yakishikiliwa na majeshi yake na washirika wake wa Ki-Congo? mbona maeneo yaliyoshikiliwa na majeshi ya Zimbabwe,Angola,na Namibia, hawakuuawa watu kwa mamilioni kama huko alikokuwepo RPF? mbona wenzao wa Zimbabwe na Waangola wameondoka kishujaa na wananchi wa Congo kuwaaga kwa heshima zote?

..umedai suala hili liwe proved mbele ya Mahakama. ili kufanikisha suala hilo kwanza lazima ushahidi ukusanywe. ninavyokumbuka mimi mara ya kwanza UN waliposikia mauaji hayo walijaribu kupeleka investigators, lakini KABILA SR aliwazuia kwasababu wakati ule alikuwa bado ana urafiki na KAGAME.

..idadi ya Wacongo waliokufa inakadiriwa kuwa kati ya milioni 1.5 ~ 3. haiingii akilini kwamba wote hao walioauwa, idadi kubwa namna hiyo, walikuwa armed and fighting against Rwanda's army.

..nakubaliana kuhusu kuwepo kwa washirika na mataifa mengine ambayo kwa namna moja au nyingine yaliyoshiriki ktk kuiba mali za Wacongo, au yalifaidika na wizi huo. kwa kweli ktk hili wahusika na washiriki wote wanapaswa kukamatwa na kupelekwa mbele ya mahakama ya kimataifa.

.. lakini katika jinai yoyote ile yako madaraja ya uhusika, hatia, na adhabu. kwa upande wangu, na naamini hata wewe unaliona hili, ni kwamba Kagame na RPF ndiyo wahusika wakuu hapa. Kagame was the person who masterminded the killings and plundering in Congo, and he is also the one who could have stopped them. ndiyo maana hakuna anayemwandama Pasteur Bizimungu.

..umeuliza kuhusu resources za kukamata wahalifu na wauaji wa Congo. jibu ni kwamba kama international community imeweza kupata resources za kukamata Interahamwe, basi inaweza pia kukusanya resources za kuwakata RPF waliohusika kule Congo. tatizo lililopo ni kwamba international community ilikuwa-duped na Paul Kagame, sasa hivi wanaona aibu kukiri kwamba walikosea walipomuamini Kagame na RPF kwa mara ya kwanza.
 
Kanyabwoya,

..ni kweli Kagame alidai anakwenda DRC kuwafuatilia Interahamwe. Lakini baada ya kuingia DRC facts on the ground zinaonyesha kwamba his army[RPF] started killing indescriminately, and plundering DRC's resources.

..umedai kwamba anaamini kauli ya Kagame kuhusu kuingiza majeshi yake DRC, lakini je una hakika madai hayo yakihakikiwa na independent observers yatasimama?

..sasa Kagame ana maelezo gani kwa mamilioni ya Wacongo waliouawa ktk maeneo yaliyokuwa yakishikiliwa na majeshi yake na washirika wake wa Ki-Congo? mbona maeneo yaliyoshikiliwa na majeshi ya Zimbabwe,Angola,na Namibia, hawakuuawa watu kwa mamilioni kama huko alikokuwepo RPF? mbona wenzao wa Zimbabwe na Waangola wameondoka kishujaa na wananchi wa Congo kuwaaga kwa heshima zote?

..umedai suala hili liwe proved mbele ya Mahakama. ili kufanikisha suala hilo kwanza lazima ushahidi ukusanywe. ninavyokumbuka mimi mara ya kwanza UN waliposikia mauaji hayo walijaribu kupeleka investigators, lakini KABILA SR aliwazuia kwasababu wakati ule alikuwa bado ana urafiki na KAGAME.

..idadi ya Wacongo waliokufa inakadiriwa kuwa kati ya milioni 1.5 ~ 3. haiingii akilini kwamba wote hao walioauwa, idadi kubwa namna hiyo, walikuwa armed and fighting against Rwanda's army.

..nakubaliana kuhusu kuwepo kwa washirika na mataifa mengine ambayo kwa namna moja au nyingine yaliyoshiriki ktk kuiba mali za Wacongo, au yalifaidika na wizi huo. kwa kweli ktk hili wahusika na washiriki wote wanapaswa kukamatwa na kupelekwa mbele ya mahakama ya kimataifa.

.. lakini katika jinai yoyote ile yako madaraja ya uhusika, hatia, na adhabu. kwa upande wangu, na naamini hata wewe unaliona hili, ni kwamba Kagame na RPF ndiyo wahusika wakuu hapa. Kagame was the person who masterminded the killings and plundering in Congo, and he is also the one who could have stopped them. ndiyo maana hakuna anayemwandama Pasteur Bizimungu.

..umeuliza kuhusu resources za kukamata wahalifu na wauaji wa Congo. jibu ni kwamba kama international community imeweza kupata resources za kukamata Interahamwe, basi inaweza pia kukusanya resources za kuwakata RPF waliohusika kule Congo. tatizo lililopo ni kwamba international community ilikuwa-duped na Paul Kagame, sasa hivi wanaona aibu kukiri kwamba walikosea walipomuamini Kagame na RPF kwa mara ya kwanza.
siyo RPF tuu hata CNDP ya laurel nkunda ilikuwa inafadhiliwa na kagame kwa kilakitu,mpaka dissent uniform ilikua ni same na ya RPA kasoro tu za hawa CNDP ilikua haina flag ya rwanda,huyu koba ni ubishi tu na ushabiki na yeye pia ni extreme tutsi ambaye sasa ana chuki ya wazi na hutu people kama huyo rais wake,na hajui kwamba mambo anayofanya ya huyo anayemshabikia ndio yanayowafanya wawe na maadui zaidi,mkongo sasahivi ana chuki na mnyarwanda yeyote shauri tu ya mambo ya kagame.
 


3861468325_dbf4501ab0.jpg


President Kagame presents "Uruti" National Liberation Medal and "Umurinzi" Campaign Against Genocide Medal to Mama Maria Nyerere, wife to Late President Julius Kabarage Nyerere
 
Kanyabwoya said:
Je [Kagame]yuko interested na ardhi ya Tanzania, again jibu ni NO, kwa sababu hajawahi kusema hivyo wala kutenda hivyo, na ninavyojua mimi matatizo yake ni yandani na nilishasema hivyo mwanzoni, na hata kuna mchnagiaji alishasema hivyo.


Kanyabwoya,

..Kagame aliwahi kulalamika ktk kikao cha viongozi wa maziwa makuu kwamba kwanini Tanzania inalazimisha wakimbizi wa Kinyarwanda kurudi kwao. Raisi Mkapa 'akamlipua' kwa kumjibu kwamba, Habyarimana alipotoa hoja hiyohiyo Kagame na RPF walichukua silaha kumpinga. Kagame akafyata mkia.

..sasa unapodai Kagame hana haja na ardhi ya Tanzania una maana gani? Hivi unafikiri ni nini kilichowasukuma kujiunga na EAC na kupigia chapuo kwa nguvu zote kufutwa kwa sheria za umiliki ardhi na uhamiaji?
 
siyo RPF tuu hata CNDP ya laurel nkunda ilikuwa inafadhiliwa na kagame kwa kilakitu,mpaka dissent uniform ilikua ni same na ya RPA kasoro tu za hawa CNDP ilikua haina flag ya rwanda,huyu koba ni ubishi tu na ushabiki na yeye pia ni extreme tutsi ambaye sasa ana chuki ya wazi na hutu people kama huyo rais wake,na hajui kwamba mambo anayofanya ya huyo anayemshabikia ndio yanayowafanya wawe na maadui zaidi,mkongo sasahivi ana chuki na mnyarwanda yeyote shauri tu ya mambo ya kagame.

..ondoa udwanzi wako na unajifanya unaelewa issues za GLR kumbe pumba tuu zimekujaa,hujui hata Nkunda kwanini alikuwa anapigana,na bora alipigana maana Banyamurenge wangekuwa wipedout,kama interahamwe nia yao ni kumaliza kila mtutsi duniani wao wakae tuu wasubiri kuchinjwa?why congolese army inashirikiana na Kagame in Eastern Congo sasa hivi? huna idea ndio maana naona is waste of time debating na watu kama nyie...endelea kuniita tutsi maana thats all you got...dwanzi mkubwa wewe!
 
siyo RPF tuu hata CNDP ya laurel nkunda ilikuwa inafadhiliwa na kagame kwa kilakitu,mpaka dissent uniform ilikua ni same na ya RPA kasoro tu za hawa CNDP ilikua haina flag ya rwanda,huyu koba ni ubishi tu na ushabiki na yeye pia ni extreme tutsi ambaye sasa ana chuki ya wazi na hutu people kama huyo rais wake,na hajui kwamba mambo anayofanya ya huyo anayemshabikia ndio yanayowafanya wawe na maadui zaidi,mkongo sasahivi ana chuki na mnyarwanda yeyote shauri tu ya mambo ya kagame.


3861013983_96cdc2bd31.jpg

President Kagame and President Kabila walk to their meeting at the end arrival ceremonies in Goma

3861023627_4eaf4ae0e3.jpg


A congolese traditional dancer welcomes President Kagame to DRC

....endelea kujifurahisha na story zako za vijiweni,watu mwendo mbele!
 
Nzongola-Ntalaja said:
Having led the military operations against the old regime, Rwandan military officers and many of their soldiers remained in the Congo to help Kabila secure his rule. For over a year, President Kabila kept a Rwandan officer, Commander James Kabarebe, as chief of staff of the national army, the Forces Armees Congolaises (FAC). With Rwandan nationals and Congolese Tutsi with close ties to the Rwandan leadership occupying high level positions in the DRC, Rwandan authorities could be assured that their interests were being protected. As for Uganda, joint patrols by its army and Congolese troops on the Congo side of the border helped to strengthen its attempt to stop infiltration by armed militias based in the DRC.



This arrangement came apart as both Rwanda and Uganda became dissatisfied with mounting incursions by rebels operating from the Congo, and with what they perceived as lack of concern for their security by President Kabila. If it is true that these two countries, like Burundi and Angola, have legitimate security interests along their borders with the Congo, they cannot place all the blame for continued insecurity on Kabila. After all, what prevented the mysterious "Commander James" and the other Rwandan commanders in the FAC from working with Rwanda to ensure the latter's security? As for Uganda, which actually had troops inside the DRC, is Kabila to blame for the Ugandan army's failure to stop rebel infiltrations?



These questions suggest that the security issue as narrowly defined with respect to rebel infiltrations does not in itself explain the determination of Kabila's former allies to dump him. His erratic style of leadership, the animosity towards him by the United States, the major external partner of both Kampala and Kigali, and his own desire to play the nationalistic card to win popular support at home, must have played a role. There is evidence that a palace coup was attempted against Kabila, and this resulted in an irretrievable breakup of the 1996 alliance. President Kabila's decision on 27 July 1998 to send all Rwandan officers and troops home triggered the flight from Kinshasa of virtually all Congolese Tutsi senior officials. On the 2nd of August, less than a week later, a rebellion aimed at ousting him from power with the support of both Rwanda and Uganda, was launched.


..yeyote yule mwenye nia ya kuelewa mgogoro wa DRC atafute vitabu na nakala za Nzongola-Ntalaja.
 
..ondoa udwanzi wako na unajifanya unaelewa issues za GLR kumbe pumba tuu zimekujaa,hujui hata Nkunda kwanini alikuwa anapigana,na bora alipigana maana Banyamurenge wangekuwa wipedout,kama interahamwe nia yao ni kumaliza kila mtutsi duniani wao wakae tuu wasubiri kuchinjwa?why congolese army inashirikiana na Kagame in Eastern Congo sasa hivi? huna idea ndio maana naona is waste of time debating na watu kama nyie...endelea kuniita tutsi maana thats all you got...dwanzi mkubwa wewe!
wewe pumbavu tutsi usiyetaka kuelewa chochote zaidi ya kuwa extreme tutsi,nyambaf zako usituletee vita hapa kwenye JF,wewe umekuja TZ tumekupokea na kukusaidia sasa hivi unatutukana?sishangaa nyie nyama wasomali na wasudani mmetoka kwenmu huko sudani na ng"ombe wenu mumewaingilia wahutu nchi yao leo hii mnajifanya kwenu,leteni ujinga kwa TZ mtapata kichapo na tutawarudisha mpaka sudan na ethiopia mlikotoka msiendelee kuleta tabu GLR,kwanza ungekua na akili badala ya kuwa busy kujibishana na sisi,ungekua busy ku-evacuate ndugu zako kule rwanda maana kuna boil moto
 
Kanyabwoya,

..Kagame aliwahi kulalamika ktk kikao cha viongozi wa maziwa makuu kwamba kwanini Tanzania inalazimisha wakimbizi wa Kinyarwanda kurudi kwao. Raisi Mkapa 'akamlipua' kwa kumjibu kwamba, Habyarimana alipotoa hoja hiyohiyo Kagame na RPF walichukua silaha kumpinga. Kagame akafyata mkia.

..sasa unapodai Kagame hana haja na ardhi ya Tanzania una maana gani? Hivi unafikiri ni nini kilichowasukuma kujiunga na EAC na kupigia chapuo kwa nguvu zote kufutwa kwa sheria za umiliki ardhi na uhamiaji?

....kwasababu Kagame ni suppoter wa EAC basi kwako wewe the only raeson anachotaka ni ardhi ya TZ..so is Uganda,Kenya,Burundi ..hapa kazi kweli kweli!
 
Koba said:
kwasababu Kagame ni suppoter wa EAC basi kwako wewe the only raeson anachotaka ni ardhi ya TZ..so is Uganda,Kenya,Burundi ..hapa kazi kweli kweli!

Koba,

..kila nchi mwanachama wa EAC ina malengo yake ktk kujiunga na jumuiya hiyo.

..inawezekana kabisa uanachama wa Rwanda ukawa unasukumwa na malengo mengi, na ardhi nakuhakikishia kwamba ni moja wapo.

..uhaba wa ardhi Rwanda, pamoja na migogoro ya umiliki wake, ni moja ya sababu zilizompelekea Kagame kujaribu kumlazimisha Mkapa awape uraia wa Tanzania wakimbizi wa Kinyarwanda.
 
...LOL,i can see mimate inavyokutoka mdomoni kwa hasira kama mjusi aliyebanwa mlangoni,next time tumia kichwa kufikiri sio matakoni kabla ya kuja na bogus & uninformed arguments zako humu
hutaki kuelewa na umeanza kutukana,by the way ,sina faida yeyote ya kudiscuss this kind of issue na mkimbizi kama wewe ambaye huna pahali utapaita kwenu,mi nna kwetu naweza kujivunia na kwetu hakuna this kind of rubbish hutu tutsi WTF,tuna makabila 150 maybe more,so najua ujinga kama huu hauwezi kunikuta,we ongea sana tu but hata hapo ulipo i know its not in your country rwanda,uko belgium or uk or us whatever with asylum seeker mwamvuli unakulinda thats why u can come and talk on internet,mi nakuachia huu mjadala kwasababu unakuhusu,mimi nop cnt argue with an idiot
 
Koba,

..kila nchi mwanachama wa EAC ina malengo yake ktk kujiunga na jumuiya hiyo.

..inawezekana kabisa uanachama wa Rwanda ukawa unasukumwa na malengo mengi, na ardhi nakuhakikishia kwamba ni moja wapo.

..uhaba wa ardhi Rwanda, pamoja na migogoro ya umiliki wake, ni moja ya sababu zilizompelekea Kagame kujaribu kumlazimisha Mkapa awape uraia wa Tanzania wakimbizi wa Kinyarwanda.
tatizo ni kwamba huwezi kuwafavour hawa viumbe hawachelewi kukugeuka na kudai sehemu uliyowasaidia yakwao,wakaanzisha vita
 
hutaki kuelewa na umeanza kutukana,by the way ,sina faida yeyote ya kudiscuss this kind of issue na mkimbizi kama wewe ambaye huna pahali utapaita kwenu,mi nna kwetu naweza kujivunia na kwetu hakuna this kind of rubbish hutu tutsi WTF,tuna makabila 150 maybe more,so najua ujinga kama huu hauwezi kunikuta,we ongea sana tu but hata hapo ulipo i know its not in your country rwanda,uko belgium or uk or us whatever with asylum seeker mwamvuli unakulinda thats why u can come and talk on internet,mi nakuachia huu mjadala kwasababu unakuhusu,mimi nop cnt argue with an idiot

LOL,dont worry about Koba... i live large in california the life you can just day dream off!
 
https://jamii.app/JFUserGuide of,live large in other people country living under some asylum taxes,who cares?im somewhere in europe anyway,think about your family you left in war zone africa with blood thirsty president,one day you will come here and confess when u lost peoples there,im out

ha ahahaha ahahaha,stop being jealous..seems una maisha magumu sana huko Eastern Europe na 3month certificate yako in how to brush cows teeth.
 
Back
Top Bottom