konda msafi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 1,666
- 8,582
Heshima kwenu wakuu.
Kuna mwanafunzi wangu amenipigia simu akiniomba dondoo za kujiandaa na interview ya kampuni inayodeal na fuel. Aliomba kazi ya uhasibu kwenye hiyo kampuni, na amebarikiwa kupata nafasi ya kuitwa kwenye interview. Ameniomba kama naweza kujua uwezekano wa maswali yanayoweza kuulizwa. Huyu jamaa alikuwa mwanafunzi wangu wa CPA review classes, hivyo alikuwa anaamini labda naweza kumsaidia ajiandae sehemu gani. Nimemjibu sijawahi kuhudhuria interview ya kampuni inayodeal na mafuta hivyo siwezi kujua likelihood ya maswali anayoweza kukumbana nayo zaidi nimemshauri afocuss labda kwenye tax reforms na awe competent kwenye preparation ya Financial Statements na IAS. JF ina watu wa kila aina, nimeona labda anaweza kupata msaada huku. Naombeni mawazo yenu wakuu.
Kuna mwanafunzi wangu amenipigia simu akiniomba dondoo za kujiandaa na interview ya kampuni inayodeal na fuel. Aliomba kazi ya uhasibu kwenye hiyo kampuni, na amebarikiwa kupata nafasi ya kuitwa kwenye interview. Ameniomba kama naweza kujua uwezekano wa maswali yanayoweza kuulizwa. Huyu jamaa alikuwa mwanafunzi wangu wa CPA review classes, hivyo alikuwa anaamini labda naweza kumsaidia ajiandae sehemu gani. Nimemjibu sijawahi kuhudhuria interview ya kampuni inayodeal na mafuta hivyo siwezi kujua likelihood ya maswali anayoweza kukumbana nayo zaidi nimemshauri afocuss labda kwenye tax reforms na awe competent kwenye preparation ya Financial Statements na IAS. JF ina watu wa kila aina, nimeona labda anaweza kupata msaada huku. Naombeni mawazo yenu wakuu.