Adolph
JF-Expert Member
- Sep 26, 2010
- 895
- 346
wakuu habari zenu......kwa bahati mbaya nipo sehemu ambayo hakuna 3g internet na hakuna ttcl broadband...nimeanzisha internet cafe yangu ya kizushi ya kutumia moderm ila nilitaka nitanuke kibiashara zaidi....baada ya kugundua ttcl broadband haipatikani na sasatel pia haipatikani nimekua nikitafuta jinsi nitakavyofanya ili niweze kuitumia moderm moja kwenye computer mbili au tatu na isiwe slow....mwenye ujuzi ningeomba anisaidie...hapa nilipo kuna mawasiliano ya voda,tigo,zantel na ttcl..........