MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,759
- 48,407
Ushindani mkali umeibuka baina ya makampuni ya mitandao hapa Kenya, binafsi natumia ZUKU ambayo inanipa internet bila kikomo, yaani hamna kuhesabu MB, natazama movies series na kila nikitakacho ikiwemo kazi zangu ambazo hutumia internet sana yote hii kwa shilingi za Kenya 1,500Ksh au Tshs 35,000 kwa mwezi
Internet yenyewe ipo kwenye router ya WIFI, nimewapa wote ruksa kuunga.
Leo Safaricom wamekuja ya offer yao, bei kama hii ya ZUKU, ila mwezi wa kwanza utumie utakavyo hutalipa hata shilingi.
Jameni hii tosha sasa, waanze kupeleka kwa mataifa majirani haswa ambao huhesabiwa internet kwa MBs. Unakuta kila wakati unaangalia angala salio la MBs kabla kufungua video ya Youtube, hapa kwetu familia wanashinda kwenye Youtube, wanapitia pia online classes za videos, makatuni ya kumwaga.
Internet yenyewe ipo kwenye router ya WIFI, nimewapa wote ruksa kuunga.
Leo Safaricom wamekuja ya offer yao, bei kama hii ya ZUKU, ila mwezi wa kwanza utumie utakavyo hutalipa hata shilingi.
Jameni hii tosha sasa, waanze kupeleka kwa mataifa majirani haswa ambao huhesabiwa internet kwa MBs. Unakuta kila wakati unaangalia angala salio la MBs kabla kufungua video ya Youtube, hapa kwetu familia wanashinda kwenye Youtube, wanapitia pia online classes za videos, makatuni ya kumwaga.