Internet service TTCL - Down since Yesterday afternoon

MduduWashawasha

JF-Expert Member
Mar 5, 2008
1,653
601
Yaani hii nchi sijui kuna nini cha kujivunia labda ubadhirifu wa fedha.Toka jana mchana wateja wote tunaotumia huduma za internet hatuna huduma .Pa nimeambiwa hata maofisi yao hayana huduma hiyo.Yaani inaudhi na kukera hapo hapo manake mambo yetu mengi yamekwama kabisa.Sijui kama watu wa IT wana proper training kwa maana ya kujua umuhimu wa kupunguza downtime na kuongeza service availability.Watu wa IT wa TTCL (Ad... , Nko... , Ern... na wengineo) jipangeni na kushawishi menejiment kuwekeza katika vifaa vya kisasa vya kutoa huduma ili kuondoa mambo haya.Mkiona hawaelewi bora muache kazi muende sehem nyingine.
 
duuu.. pole kaka , kama umekumbana na tatizo hilo. bali angalia salio unalo...? mi niko ttcl na internet iko bomba . unaweza pia kupiga namba 100 ukaomba uunganishwe na watu wa data kwa ufumbuzi wa tatizo lako. inawezekana ikawa ni tatizo lingine . TTCL NI ZAIDI YA HUDUMA( PAMOJA TUTAWEZA)
 
kaka labda kwako net jana wa haikusumbua kabisa kabisa wala hakukuwa na lalamiko lolote au bandle yako iliisha jana jaribu ku recharge leo tar 1 utapata safi connection
 
Hapana msimopotooshe  ni kweli huduma za TTCL zimekuwa duni, kunakosababishwa na baadhi  ya vigogo kuwa na hisa katika makampuni mengine ya simu na hivyo kufanya hujuma za makusudi dhidi ya TTCL shirika letu, vinginevyo TTCL INGETISHA HATA ZAIDI YA nssf, speed ipo chini broadband yao inakuwa  153 kbps kama simu ya mchina, imevuka modem yao ya cdma ambayo ina 230 kbps wakati wanayodai ni broadband spidi yake inatakiwa kuwa 2.4mbps., sasa kuweni makini kuna ubadhirifu fulani unaendelea nyie ndio mnamiliki huduma hiyo sasa iweje muwe wachov?
 
Mwanzisha thread lazima utakuwa umetumwa na mafisadi. Mm natumia ttcl nakula net kama kawa. Tena kwa kutumia ile wanaiita BANJUKA ninaenjoy speed ya kufa mtu with unlimited down/uploads
 
Mwanzisha thread lazima utakuwa umetumwa na mafisadi. Mm natumia ttcl nakula net kama kawa. Tena kwa kutumia ile wanaiita BANJUKA ninaenjoy speed ya kufa mtu with unlimited down/uploads

hiyo ni na mobile weweee! acha kuwaita watu mafisadi kama hujui kitu kinacho ongelewa! TTCL mobile ndio ina bajuka lakini anayo ongelea uyo juu ni TTCL Broadband ile ya DSL yani Wire kabisa (LAN) na mpaka leo TTCL Broadband haifanyi kazi shit!! siku ya tatu hii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom