Internet modem: ipi ni value for money- Voda, Airtel, Zantel au tigo

kanyagio

JF-Expert Member
Dec 10, 2009
1,021
365
wanandugu nataka kununua modem kwa ajili ya kazi zangu za ofisi na zile binafsi. sasa naomba kufahamu kampuni gani ina best rate at reasonable cost kati ya Voda, Airtel, Zantel au tigo. naomba wenye taarifa yakinifu wanisaidie kwa kuzingatia haya:
  • Package ni GB ngapi (mahitaji yangu ni kama 2GB per month)
  • bandwith
  • monthly charge
  • coverage in terms of regions (remote areas)
  • bei ya kununulia hiyo modem
nitashukuru sana kupata maelezo; ahsante sana
 
mitandao yoooote ukifungua website zao utakuta wameweka rates zao za internet, kwa kukusaidia tu :

Voda: Wajanja Internet

Tigo: ::: Tigo :::

Airtel: Broadband Tariff | airtel Tanzania

Zantel: Find your Rhythm

check hizo link utachagua inayokufaa.. isitoshe location nayo inamata sana ili kuweza kupata kasi nzuri, so chagua mtandao unaopatikana vizuri maeneo uliyopo..(you will have to try different mitandao kwa kuanzia..sio mitandao yote speed zinalingana kwa kila eneo)
 
KWA DAR PEKE YAKE SASATEL. lAKINI KWA UJUMLA ZANTEL NI MWISHOM WA MAMBO YOTE!!!:flypig::israel::israel:
 
Kwa kweli inakuwa vigumu kuamini kama kweli kwa huu wenyeji wako humu ndani JF bado unauliza swali hili.
Anyway, mimi nachangia hapo kwenye coverage. In short hakuna mtandao hata mmoja ambao umeenea nchi nzima(nina maana ya 3G).
Maeneo mengi nchini bado wanatumia GPRS(usidanganyike na matangazo yao mkuu). Zantel na TTCL ndio kabisa wapo kwenye miji mikubwa tu.Wilayani bado hawajaingia.

Kuhusu bei za modems na packages unaweza tembelea websites zao, wameeleza kila kitu.
 
  • Thanks
Reactions: viz
ukitaka ushauri wangu opt vodacom

- modem nunua huawei e173 sh 30,000

-bundle nunua ya mwez 20,000 gb 5

-au unlimited sh 30,000 kakini 2gb ndo speed itayobakia slow
 
Back
Top Bottom