chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,720
Miaka 2000 kampuni za simu zilijizolea pesa nyingi kupitia simu za mkononi sababu kulikuwa hakuna huduma nyengine zaidi ya kupiga simu na sms.
Teknolojia uwezi kuzuia mabadiliko mfano mashirika ya posta yalivopinga vikali huduma ya barua pepe kuingia.
Baada ya mabadiliko makubwa kuibuka kwa simu janja kumeongezeka huduma ambazo zinatumika mbadala
wa huduma za simu kama wanavotoa kampuni za simu.
huduma ya internet inaonyesha kuwapotezea pesa nyingi ukilinganisha na zamani walivokuwa.
Huduma ambazo ni mwiba ni hizi zilizo mbadala wa mawasiliano ya kawaida.
Ukiangalia simu yako janja kitu gani unatumia utakuta ni huduma ambazo sio mawasiliano kama kupiga na kutuma sms.
Je kampuni za simu ndio njia sahii ili kukabiliana kurudisha kama mlivokuwa zamani.
Teknolojia uwezi kuzuia mabadiliko mfano mashirika ya posta yalivopinga vikali huduma ya barua pepe kuingia.
Baada ya mabadiliko makubwa kuibuka kwa simu janja kumeongezeka huduma ambazo zinatumika mbadala
wa huduma za simu kama wanavotoa kampuni za simu.
huduma ya internet inaonyesha kuwapotezea pesa nyingi ukilinganisha na zamani walivokuwa.
Huduma ambazo ni mwiba ni hizi zilizo mbadala wa mawasiliano ya kawaida.
Ukiangalia simu yako janja kitu gani unatumia utakuta ni huduma ambazo sio mawasiliano kama kupiga na kutuma sms.
Je kampuni za simu ndio njia sahii ili kukabiliana kurudisha kama mlivokuwa zamani.