Internet ilikuwepo kabla ya Kristo?

Jiulize ikiwa cloud (ma/wingu) ndiyo internet wameweza kuweka ushahidi (data) mawinguni (clouds). Je miaka hiyo 2000 iliyopita ikazungumzwa " Wingu kubwa namna hii la ushahidi" katika Biblia ni nini kama siyo internet

12:1 1Kor 9:24; Ebr 10:36 Kwa sababu hii, kwa kuwa tumezungukwa na wingu kubwa namna hii la mashahidi

Simply put, the cloud is the Internet—more specifically, it's all of the things you can access remotely over the Internet. When something is in the cloud, it means it's stored on Internet servers instead of your computer's hard drive. Watch the video below to learn more about the cloud.
Huu ni ukweli mtupu
 
Uwe unajiongeza , usiwe kama chizi , Umeme naozungumzia ni unaotumika katika matumizi ya kawaida kama wa majumbani , hapa siongelei umeme wa mwili na umeme uliopo kwenye nywele
hata sikumbuki nilikuwa nimelewa balaa, hebu fafanua umeme unaongelea wewe ni ngoma (vvu) au ule umeme wa mtera? Jamaa mbishi sana mpaka una bold maandishi..una kipaji
 
hata sikumbuki nilikuwa nimelewa balaa, hebu fafanua umeme unaongelea wewe ni ngoma (vvu) au ule umeme wa mtera? Jamaa mbishi sana mpaka una bold maandishi..una kipaji
Ha ha wewe jama ni hatari etii umeme NGoma a.k.a VVU
 
Kuna vitu vingi vimefichwa ili watu wasivifahamu ili kurinda maslai ya baadhi ya watu/kikundi flan.

“The one who seeks should not cease seeking until he finds, And when he finds, he will be dismayed, And when he is dismayed, he will be astonished, And he will be king over the All.”
 
Kuna vitu vingi vimefichwa ili watu wasivifahamu ili kurinda maslai ya baadhi ya watu/kikundi flan.

“The one who seeks should not cease seeking until he finds, And when he finds, he will be dismayed, And when he is dismayed, he will be astonished, And he will be king over the All.”
Yeah upo vizuri nilitegemea hayo kutoka kwako

Thanks
 
Internet ipi inasemea wewe?

Internet : is global computer network providing a variety of information and communication facilities, consisting of interconnected networks using standardized communication protocols.

First computer invented by Charles Babbage between 1833 and 1871

Kuzaliwa Kwa Yesu ni 1/1/1

Je internet ilikuwa ya kwanza kugundulika kabla ya kompyuta?

Yesu kazaliwa tarehe ngapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom