mack255
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 551
- 1,229
Kumbuka kuwa 25/12 ni maadhimisho ya kuzaliwa Yesu na sio siku sahihi - Ni kama Jumapili ilivyogeuzwa siku ya mapumziko badala ya JumamosiHiyo tarehe ya kuzaliwa kwa Yesu ni kwa mujibu wa kalenda ipi?
Kabla Yesu kuzaliwa , tarehe zilikuwa zinahesabiwa kurudi nyuma - yani bado siku ngapi Mwokozi azaliwe , Baada ya kuzaliwa ndo tarehe na mwaka vikaanza moja