Internet ni neno la ki-spanish lenye maana ya biashara ya..(toholewa kwenda kwenye kiingereza--international network) lakini pia neno cafe ni la ki-dutch( pia ni toholewa kwenda kwenye kiingereza--cafe) kwa hiyo kwa kutumia vyanzo vyake halisia yaani ki-spanish na ki-dutch naweza sema kwamba -internet cafe- maana yake kwa kiswahili ni biashala ya cafe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.