Ng'wanza Madaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2008
- 2,268
- 333
- Thread starter
- #81
Motta anatoka anaingia Ballotelli(Inter sub) 57mins
Invisible mbona huonekani??!..
Invisible mbona huonekani??!..
Na wewe mbona huonekani? Teh teh teh
Masanilo uko wapi?
Wacha uongo we Manure.Game tamu sana hii kuicheki kama ukiwa hauna upande unaoshabikia kama mimi hapa, unless othawiz, preshaaaaa itapanda, presha itashukaaa, vichomiiii....
Shhhhhhhhhh....muulize taaaaaraaaatibu, asije akatufungia.....
Afu anza na Mkuu Moderator Invinsible uko?
Wacha uongo we Manure.