International schools za ada nafuu Dar

Nov 25, 2020
73
170
Habari!

Naomba kifahamishwa majina, sehemu na kiwango cha ada kwa shule za msingi zinazofuata mtaala wa kimataifa (international Schools) zenye ada ya kawaida. Sihitaji hizi IST n.k

Shukran!
 
Habari!
Naomba kifahamishwa majina, sehemu na kiwango cha ada kwa shule za msingi zinazofuata mtaala wa kimataifa (international Schools) zenye ada ya kawaida. Sihitaji hizi IST n.k
Sh
Habari!
Naomba kifahamishwa majina, sehemu na kiwango cha ada kwa shule za msingi zinazofuata mtaala wa kimataifa (international Schools) zenye ada ya kawaida. Sihitaji hizi IST n.k
Shukran!
Kwanza fahanu tofauti ya International schools na english medium schools..
Kwa kifupi international schools zipo chache ndani ndio IST, LAURREATE n.k
 
Kuna shule ipo hapa mbagala.kilungule inaitwa MNONDWA INTERNATIONAL SCHOOL ada laki 9 kwa day vp unahitaji
 
Back
Top Bottom