International schools vs normal schools in TZ

Mtaalam

JF-Expert Member
Oct 1, 2007
1,370
234
wana JF nimeona suala hili likigusiwa kwa juu kwenye thread flani na mie likanigusa as nikiwa Tz kuna wakati i used to fuatilia performance za hizi international schools...sio primary hata secondary yaanii nadhubutu kusema ni mbovu..as hata kwenye mitihani mara nyingi hazifanyi vyema watoto wapitiapo shule hizo maadili huwa mabovu kwa asilimia kubwa!kwa nini sasa Twaiga Tembo kunyaaaaa???
 
na nyingi ya shule hizo ukienda walimu wake utakuta ni vibarua wa muda tuu kutoka nchi zingine ambapo huwa napata wasiwasi wa kujiuliza je ni walimu kweli ama??sasa kwa mtindo huu where are we takin our education system to??na je ndo taifa la kesho lajengwa??
 
haoo wanaowaita walimu kutoka nje ya nchi si walimu bari kwa kuwa wanaweza lugha ya kiingereza ndo kigezo kikubwa cha kuwapa ajira lakin hawana lolote maana mm nshawahi kufundshwa na hao wanaojiita walimu kutoka nje mwsho wa sku hawana jipyaa kabxaa
 
Back
Top Bottom