Mwana Mnyonge
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 518
- 448
waandugu naomba kuuliza kama kuna mtu anajua kuhusu hii kitu anisaidie nimeomba kzi sehemu wameniambia nitupe na ips ambay kirefu chake ni hicho hapo juu,n hiyo huduma unalipia kwa anayejua anisaidie international job lazima utume hiyo ips