International Psychometric Score anayejua kuhusu hii kitu msaada anayejua

Mwana Mnyonge

JF-Expert Member
Mar 3, 2011
518
448
waandugu naomba kuuliza kama kuna mtu anajua kuhusu hii kitu anisaidie nimeomba kzi sehemu wameniambia nitupe na ips ambay kirefu chake ni hicho hapo juu,n hiyo huduma unalipia kwa anayejua anisaidie international job lazima utume hiyo ips
 
Mkuu wangu kwa usahuri wangu naona jamaa watakuwa wamekukula hela tena watakuambia ufanye mtihani na dead line wanakupa plus link ya hao jamaa wa mitihani hope ni tumda mkuu wapo Kenya temana nayo kamanda na huo mtihani wa International Pyschomestic Score hawa wanakusanya hela kwa vijana wasiokuwa na kazi utachajiwa takribani KSH 6000 mkuu hawana maana kamanda ni ujanja wa kupata hela
 
Mkuu wangu kwa usahuri wangu naona jamaa watakuwa wamekukula hela tena watakuambia ufanye mtihani na dead line wanakupa plus link ya hao jamaa wa mitihani hope ni tumda mkuu wapo Kenya temana nayo kamanda na huo mtihani wa International Pyschomestic Score hawa wanakusanya hela kwa vijana wasiokuwa na kazi utachajiwa takribani KSH 6000 mkuu hawana maana kamanda ni ujanja wa kupata hela


mkuu nimekupata upo sahihi kabisa nilikuwa nataka kupata uhakika na hiyo kitu kozi nimefanya pepa yao ya kizush hivi bt result had nitume hiyo pesa by the way nahisi kama ni hivi basi issue zimekuwa tight coz hao jamaa wapo kenya na hiyo coy hr wake yupo british daah mjini hapa kazi ipo kweli
 
mkuu nimekupata upo sahihi kabisa nilikuwa nataka kupata uhakika na hiyo kitu kozi nimefanya pepa yao ya kizush hivi bt result had nitume hiyo pesa by the way nahisi kama ni hivi basi issue zimekuwa tight coz hao jamaa wapo kenya na hiyo coy hr wake yupo british daah mjini hapa kazi ipo kweli


Mkuu Mwana mnyonge temana nao hao watakuingiza mjini jamaaa hawana lolote hope ni hawa
Client Support Manager
Tumda Communication
Psychometric Testing Department
Nuthu Court, Milimani Nairobi
email:michael@tumda.comColleen Walker
Operations & Personnel Manager
Planet Action Fund
25 Church Street,BB1 5AF
Blackburn, United Kingdom
Tel: +44 7024045789
Fax: +44 7014019373
colleen@planetactionfund.org
www.planetactionfund.org
kuwa makini mkuu tena waambie huna hela ni vijana wana rise capital kwa ajili wanajua hakuna ajira ukiwalipa KSH 6400 inakula kwako hiyo hela tumia kwa matumizi mengine

Direct Line: +254208073434
Mobile Line: +254702645482 na
 
Mkuu Mwana mnyonge temana nao hao watakuingiza mjini jamaaa hawana lolote hope ni hawa
Client Support Manager
Tumda Communication
Psychometric Testing Department
Nuthu Court, Milimani Nairobi
email:michael@tumda.comColleen Walker
Operations & Personnel Manager
Planet Action Fund
25 Church Street,BB1 5AF
Blackburn, United Kingdom
Tel: +44 7024045789
Fax: +44 7014019373
colleen@planetactionfund.org
www.planetactionfund.org
kuwa makini mkuu tena waambie huna hela ni vijana wana rise capital kwa ajili wanajua hakuna ajira ukiwalipa KSH 6400 inakula kwako hiyo hela tumia kwa matumizi mengine

Direct Line: +254208073434
Mobile Line: +254702645482 na


kaka nashukuru nimekupata jamaa wenyewe sio hao but naona ni kabila moja wanaitwa Giving Hand Fund hawana tofauti na hao jamaa uliowataja
 
kaka nashukuru nimekupata jamaa wenyewe sio hao but naona ni kabila moja wanaitwa Giving Hand Fund hawana tofauti na hao jamaa uliowataja


My goodness!! Nilikua najaza form za hawa Giving Hand Fund. Nimekutana na hii Kitu.

Thanks you JF. Thank you Mwana Mnyonge.

my word!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Guys,mimi mwenyewe nilikuwa nimeomba kazi jamaa wanaitwa Joint Donor Team,wakaniomba nisubmit hiyo Test na kunidirect niwasiliane na jamaa wanaitwa Govran Centre, Daah hawa jamaa kumbe ni matapeli?
Ahsante JF kwa kutujuza,vinginevyo mtu unaibiwa hivi hivi.
 
Back
Top Bottom