MLIMBWANJI
Member
- Jan 12, 2013
- 41
- 85
Mimi changamoto ninayokutana nayo kuna mtu huwa akipita maeneo ilipo ofisi yangu lazima aje aniangalie tu ninavyoandika, hata kama sina cha kuandika mda huo ataniomba nishike pen niandike chochote
Kuna wakati nakutana na maswali ya ajabu kama hili chooni unatumia mkono gani?Nikila na kijiko natumia left
Kula kwa mkono natumia right hand
AiseeMimi changamoto ninayokutana nayo kuna mtu huwa akipita maeneo ilipo ofisi yangu lazima aje aniangalie tu ninavyoandika, hata kama sina cha kuandika mda huo ataniomba nishike pen niandike chochote
HatutofautianiNikila na kijiko natumia left
Kula kwa mkono natumia right hand
Akili za google hizi!Left Handed ni Ulemavu kama ilivyo ulemavu mwingine tu, mf. mtu kuzaliwa na jinsia mbili, mikono mifupi nk maaana ukigoogle unaaambiwa hata ubongo wenu yaani CPU yenu kichwani haijakaa sehemu yake hivyo hayo ni mapungufu ya kimaumbile acheninkutulisha matango pori kwamba nyie ni bright au mmebarikiwa, NYINYI NI WALEMAVU.