Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,476
- 4,754
- Thread starter
- #81
Dakika ya 82 sasa
Yanga 2-1 Express
Yanga 2-1 Express
Kwa nin alimtoa axee dahPengo la Yondani linaonekana mkuu...Huyu Ladislaus Mbogo bado hajatulia kivile
Dakika ya 82 sasa
Yanga 2-1 Express
Kocha kafanya makosa kumtoa Kelvin Yondani......Anyways ni mechi ya kirafiki so kocha anapata nafasi ya kuwajaribu wachezaji waliosajiliwa...tunashambuliwa sana wanaweza kupata goli la pili
Express wameamka sasa.....Wanatushambulia kwa kiasi fulani....Thank God tunae Barthez golinimashambuliz vp?
Kwa nin alimtoa axee dah
Wanasubiri mpira uishe....Mbona siwaoni mashabiki wa simba ktk thread hii. Lazima kombe la Kagame litue tena Jangwani.