Interbank Foreign Exchange Rates (Usd to Tshs) for the past 10 years

Hadi december itakuwa inakimbilia around 2700~2800 ngoja tuendelee support juhudi

We are in right track in jiwe voice
 
Hadi december itakuwa inakimbilia around 2700~2800 ngoja tuendelee support juhudi

We are in right track in jiwe voice
Haiwezekani shilingi haishuki thamani kwa rate hiyo.

Ila mpaka 2025 naweza nikakubariana na rate hiyo.
Kingine kifahamike ni ngumu kwa mtu ama kwa kiongozi yoyote atakayeongoza nchi kuifanya shilingi isishuke thamani against dollars na sarafu zingine zenye nguvu duniani.
Kwa mwaka tu uliopita EURO imestrugle against USD kwa kipindi kirefu hasa kuanzia mwezi wa 6/2018 na hata mpaka sasa hivi. Sasa fikiria kuhusu shilingi.
 
Haiwezekani shilingi haishuki thamani kwa rate hiyo.

Ila mpaka 2025 naweza nikakubariana na rate hiyo.
Kingine kifahamike ni ngumu kwa mtu ama kwa kiongozi yoyote atakayeongoza nchi kuifanya shilingi isishuke thamani against dollars na sarafu zingine zenye nguvu duniani.
Kwa mwaka tu uliopita EURO imestrugle against USD kwa kipindi kirefu hasa kuanzia mwezi wa 6/2018 na hata mpaka sasa hivi. Sasa fikiria kuhusu shilingi.

Nafahamu ilo
 
wataalamu wa uchumi watusidie,madhara yake.
Bei ya mafuta kupanda - hii huathiri sekta ya usafirishaji, viwanda na hata kilimo.

Bidhaa toka nje utanunua kwa pesa kubwa kumbuka smartphone au laptop haijatengenezwa tz. Kwa mfano aliexpress uliona simu mwezi ulopita bei $50 kwa rate ya 2290tsh lakini kwa sasa rate 2320tsh. Kwa hiyo kama ww ni mfanyabiashara unaagiza simu toka nje faida itapungua itakubidi bidhaa hiyohiyo upandishe bei kidogo.

Kushuka kwa thamani ya shilingi ingekuwa na faida kama nchi yetu ingekuwa inazarisha vitu vingi sisi wenyewe na tungekuwa tunafanya export ya bidhaa zinazolishwa humu ndani kwa kiasi kikubwa.

Mfano japanese yen, japan hawapendi kuona yen ikipata nguvu kwa sababu makampuni ya japan huwa yanalalamika kuwa kuimalika kwa yen kunapunguza export maana bidhaa zinakuwa ghali, hivyo serikali ya japan kupitia benki kuu huwa ina mtindo wa ku-interfere soko la forex ili kuishusha yen thamani kumbuka japan ana foreign reserve kubwa.
 
rates.png

Source : Economy of Tanzania - Wikipedia
 
Back
Top Bottom