Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inabidi utumie akili sanaaShukrani za punda huwa ni mateke.
Tunarudi palepale,
Wanawake wanahitaji mchakamchaka.
Ukjifanya niceguy Sana wanakupanda kichwani
AmenView attachment 2073630
wote tuseme Amen!
Nilimwambia hivyo hivyo mtalaka wangu,Hapo sijaona mwanamke mwerevu bali ni mwanamke mjinga mjinga aliepata nafasi ya kutamba!
Huyo ustadhi ni weak sana aisee mie kanuni ni simple tu nakuhudumia kwa kila kitu utaishi by my rules hutaki nakutimulia mbali. No room for negotiations until i get the finest choice.
Hakuamini😂Nilimwambia hivyo hivyo mtalaka wangu,
Akajifanya kichwa ngumu nikapiga chini hakuamini, alidhani kwa kua nimezaa nae watoto wawili nisingeweza kumwacha ila nikapiga chini maana nilimwambia kabisa, "wewe sikuolei mke wa pili bali nakupiga chini mazima"
Mpaka sasa haamini, maana aliolewa kaachika sa hv anataka kurudiana na mimi na mimi ndo sina habari nataka kuoa mke mwingine kabisaHakuamini😂
Ma single mama sio wa kuoa, kabla ya kuoa jiulize aliemzalisha akamuacha hakuwa na akili?Muhuni kapindua meza, mpemba chaliiiii.
Yaani kuna wanawake akili zao wanazijua wenyewe, sasa huyo single mama amepata sehemu ya kustirika badala akae kwa kutulia analeta upuuzi wake.
NB hapo chini umeiona mkuu...nimetumia neno mwerevu kama camouflage tu.Hapo sijaona mwanamke mwerevu bali ni mwanamke mjinga mjinga aliepata nafasi ya kutamba!
Huyo ustadhi ni weak sana aisee mie kanuni ni simple tu nakuhudumia kwa kila kitu utaishi by my rules hutaki nakutimulia mbali. No room for negotiations until i get the finest choice.
Aliamini amekushika huchomoki labda!Nilimwambia hivyo hivyo mtalaka wangu,
Akajifanya kichwa ngumu nikapiga chini hakuamini, alidhani kwa kua nimezaa nae watoto wawili nisingeweza kumwacha ila nikapiga chini maana nilimwambia kabisa, "wewe sikuolei mke wa pili bali nakupiga chini mazima"
Lakini kuna wanaume ambao nao hupoteza mwelekeo mkuu.Ma single mama sio wa kuoa, kabla ya kuoa jiulize aliemzalisha akamuacha hakuwa na akili?
Aliona hafai ndio mana akamuacha, hakuna mwanaume anaeacha kitu kizuri ila kibaya tu
Mkuu kwenye hii Dunia yenye fujo nyingi, wanawake hawataki watu wastaarabu na wakweli,Lakini kuna wanaume ambao nao hupoteza mwelekeo mkuu.
Na pia mtu akijirekebisha anastahiki kizuri...nadhani ndipo imani ya ustaadhi ilipokuwa.... kwamba either jamaa aliemzalisha alipoteza mwelekeo au mwanamke amejirekebisha makosa yake maana alivyomwendea alienda kistaarabu sana na kuonesha yuko tayari kwa kila kitu. Na ile hali ya kutokuwa na mawasiliano na ex wake ndio ilimpa jamaa matumaini zaidi.
All in all, mambo yameshamtokea atajua ana sort vipi.