Intelligence :Earlier views (mtazamo wa Kale kuhusu akili)

tilmikha

JF-Expert Member
Feb 27, 2013
496
604
Mnamo karne ya 18, Franz Joseph Gall, akiwa mwanafunzi alitazama vichwa vya wanafunzi wenzake na kuunza kuhusisha uhusiano uliopo baina ya baadhi ya tabia za akili pamoja na size na shape ya kichwa (fuvu) za wanafunzi wenzake. Kwa mfano aligundua kuwa wavulana walio na prominent eyes walikua na uwekaji mzur wa kumbukumbu. Aliendelea na kushikamana na wazo lake hili mpaka alipokua daktari (physician) and scientist, na miaka ya badae akaweka wazo lake na kuwa ndio msingi wa phrenology. Phrenology ni taaluma inayohusiana na study ya size and shape ya fuvu kama imani ya kuweza kujua uwezo wa akili za watu kwa kutazama vichwa vyao.
Wazo kuu la taaluma hii ni kuwa, fuvu la binaadam linatofautiana kutoka mtu mmoja hadi mwengine, hivo tofauti za fuvu zina reflects tofauti katika ubongo wao. Na sehemu tofauti za ubongo, zina kazi tofauti.
Wamsri wa kale wao waliamini thought (wazo) wazo la mtu huwa linatoka ndani ya moyo wa mtu na judgment (maamuzi) hufanywa ndani ya kichwa ama Figo.
Pythagoras na Plato wao waliamini akili ipo ndani ya ubongo.
Waswahili wao waliamini akili ni nywele kila mtu ana za kwake.
Mpendwa msomaji, je wewe ni upi mtazamo wako wa kale wa akili?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akili ipo kwenye ubongo , uhusiano wa ubongo na vitu unavyoviona , ili kutatua matatizo yanayokuzunguka . Kuishi ni mapambano , akili inakuwezesha kukabidhiana na hayo mapambano . Ubongo ni kila kitu, hata kifo kinatokana na ubongo kuacha kufanya kazi na sio moyo unapoacha kupiga .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akili ipo kwenye ubongo , uhusiano wa ubongo na vitu unavyoviona , ili kutatua matatizo yanayokuzunguka . Kuishi ni mapambano , akili inakuwezesha kukabidhiana na hayo mapambano . Ubongo ni kila kitu, hata kifo kinatokana na ubongo kuacha kufanya kazi na sio moyo unapoacha kupiga .

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mana moyo unapushindwa kufanya kazi tunaweza kujaribu kuurudisha kwa kutumia CPR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mimi nasema akili ni nywele kila mtu ana zake. maana tangu ninyoe kipala hata sijielewi kabisa
 
kuna sehem nilisoma watoto watakaozaliwa miaka 100 ijayo watakuwa na vichwa vikubwa coz watatumia akili zaidi kuliko nguvu maanake nn ni kuwa watakuwa wapo kigitali zaidi ndo mana tunaambiwa mababu zetu walikuwa giant lakini kwa vile matumizi ya nguvu yamekuwa madogo kutokana na ukuaji wa science na technologia na uvumbuzi wa mashine tunazidi kuwa na miili midogo na ukifuatilia utapata majibu haya kiundani

Mnamo karne ya 18, Franz Joseph Gall, akiwa mwanafunzi alitazama vichwa vya wanafunzi wenzake na kuunza kuhusisha uhusiano uliopo baina ya baadhi ya tabia za akili pamoja na size na shape ya kichwa (fuvu) za wanafunzi wenzake. Kwa mfano aligundua kuwa wavulana walio na prominent eyes walikua na uwekaji mzur wa kumbukumbu. Aliendelea na kushikamana na wazo lake hili mpaka alipokua daktari (physician) and scientist, na miaka ya badae akaweka wazo lake na kuwa ndio msingi wa phrenology. Phrenology ni taaluma inayohusiana na study ya size and shape ya fuvu kama imani ya kuweza kujua uwezo wa akili za watu kwa kutazama vichwa vyao.
Wazo kuu la taaluma hii ni kuwa, fuvu la binaadam linatofautiana kutoka mtu mmoja hadi mwengine, hivo tofauti za fuvu zina reflects tofauti katika ubongo wao. Na sehemu tofauti za ubongo, zina kazi tofauti.
Wamsri wa kale wao waliamini thought (wazo) wazo la mtu huwa linatoka ndani ya moyo wa mtu na judgment (maamuzi) hufanywa ndani ya kichwa ama Figo.
Pythagoras na Plato wao waliamini akili ipo ndani ya ubongo.
Waswahili wao waliamini akili ni nywele kila mtu ana za kwake.
Mpendwa msomaji, je wewe ni upi mtazamo wako wa kale wa akili?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akili ipo kwenye ubongo , uhusiano wa ubongo na vitu unavyoviona , ili kutatua matatizo yanayokuzunguka . Kuishi ni mapambano , akili inakuwezesha kukabidhiana na hayo mapambano . Ubongo ni kila kitu, hata kifo kinatokana na ubongo kuacha kufanya kazi na sio moyo unapoacha kupiga .

Sent using Jamii Forums mobile app
Noted Akili /ubongo ndio msingi haswaa wa maisha yetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna sehem nilisoma watoto watakaozaliwa miaka 100 ijayo watakuwa na vichwa vikubwa coz watatumia akili zaidi kuliko nguvu maanake nn ni kuwa watakuwa wapo kigitali zaidi ndo mana tunaambiwa mababu zetu walikuwa giant lakini kwa vile matumizi ya nguvu yamekuwa madogo kutokana na ukuaji wa science na technologia na uvumbuzi wa mashine tunazidi kuwa na miili midogo na ukifuatilia utapata majibu haya kiundani
Hapana, sifikiri giants walipungua kwa sababu ya kukua kwa science na technology kwa maana science ilianza kukua mnamo karne ya 18 mwishoni na kuanza kupata kasi kuanzia karne ya 19, hio unayotaka kueleza nahisi itakua ni theory ya Darwin while it's not pure science. Ila kama una madini juu ya ulichochangia shusha tufaidike

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom