Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Peek a boo kwa wasiofahamu ni mchezo wa watoto wa kujificha ni kama komborela fulani, sasa kwa kawaida komborela hucheza watoto na ukiona mtu mzima ambaye na msomi” anacheza peek a boo, kwamba jamani msinisahau na mimi nipo pia muhimu nijadilini, basi ujue kuna tatizo mahali, kwa kawaida intellectuals wengi akipoteza kazi aidha hurudi kufundisha Chuoni, au huandika vitabu na kuelimisha jamii au hata hufungua companies vitu kama hivyo, sasa ukiona PhD holder anacheza peek a boo inafikirisha na kusikitisha sana kwa kweli.