Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,313
- 92,439
Hili ni swali kwako IGP Mangu, Intelligence yangu raia wa kawaida mimi Matola nililiona hili hata ukiangalia Facebook waliochapisha Tshirt na wanaojiita sijui wafia chama.
Je polisi intelligence yenu ni kwenye maandamano tu? Na inakuwaje wahuni wachache wavunje mkutano kwa nini CUF haikuwa ulinzi mkubwa kama ule waliopewa CCM Dodoma baada ya kujambishwa tu na BAVICHA?
Je polisi intelligence yenu ni kwenye maandamano tu? Na inakuwaje wahuni wachache wavunje mkutano kwa nini CUF haikuwa ulinzi mkubwa kama ule waliopewa CCM Dodoma baada ya kujambishwa tu na BAVICHA?