Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 12,998
- 6,659
Mleta uzi anatafuta hela ya futari kwa nguvu kutoka kwa Nape
Ninachojiuliza kwa hawa CHADEMA kila taarifa ya kiintelijensia ina msemaji wake? mara SLAA , mara Mnyika , mara Marando na wakati mwingine Mbowe Mwenyewe. Hizi si ni dalili za uongo na upotoshaji mkubwa?
bora mwenzangu unapakuanzia jero sio haba, mwenzio hata gobore sina!hivi leo nitakula nini?maana mpaka sasa hivi mfukoni nina jero.
kama kiwete,nape na mkama vile.eti?Ninachojiuliza kwa hawa CHADEMA kila taarifa ya kiintelijensia ina msemaji wake? mara SLAA , mara Mnyika , mara Marando na wakati mwingine Mbowe Mwenyewe. Hizi si ni dalili za uongo na upotoshaji mkubwa?
ni kweli kabisa unavyosema hatumwamini kabisa huyo mropokaji wenu mwenye domo linalotoa maneno machafu kama CHEMBA la mavi anayetumia mitambo ya mtoto wa vascodagama kutuma mesej za kusingizia anataka auwawe, MARANDO AMEBAINI NA KUTUELEZA WATANZANIA UHUNI MNAOFANYA KM MMESINGIZIWA NENDENI MAHAKAMANI mnasuasua nini?Watanzania wa sasa SI WAJINGA wa kuamini kila neno la mwanasiasa.
Anzisha thread ya kuitukana Chadema kama anavyofanya Ritz upeleke hiyo project yako kwa Nape utapata hela mpaka ya Idd el ftrihivi leo nitakula nini?maana mpaka sasa hivi mfukoni nina jero.
Kuna madaktari wengi ilikuwaje Dr. Ulimboka mkataka kumuua....kwanini kombe mlimuua?
Wanachofanya Chadema kinanikumbusha maneno ya Gobbles aliyekuwa Waziri wa Propaganda wa utawala wa Adolph Hitler wakati wa vita kuu ya pili ya dunia 1939-1945 alisema jambo lolote ukitaka lienee na likubalike upesi litangaze na ulikariri mara kwa mara...lakini viongozi wa Chadema wanashindwa kujua kuwa watanzania wa sasa si wajinga wa kuamini kila neno la mwanasiasa.
Ninachojiuliza kwa hawa CHADEMA kila taarifa ya kiintelijensia ina msemaji wake? mara SLAA , mara Mnyika , mara Marando na wakati mwingine Mbowe Mwenyewe. Hizi si ni dalili za uongo na upotoshaji mkubwa?
Wanachofanya Chadema kinanikumbusha maneno ya Gobbles aliyekuwa Waziri wa Propaganda wa utawala wa Adolph Hitler wakati wa vita kuu ya pili ya dunia 1939-1945 alisema jambo lolote ukitaka lienee na likubalike upesi litangaze na ulikariri mara kwa mara...lakini viongozi wa Chadema wanashindwa kujua kuwa watanzania wa sasa si wajinga wa kuamini kila neno la mwanasiasa.
Shughuli za Idara ya Usalama wa Taifa huwa zinafanyika katika hali ya usiri mkubwa kiasi kwamba hata mtumishi hajui mtumishi mwenzake anachunguza nini je, intelijensia ya Chadema imejuaje?
Shughuli za Idara ya Usalama wa Taifa huwa zinafanyika katika hali ya usiri mkubwa kiasi kwamba hata mtumishi hajui mtumishi mwenzake anachunguza nini je, intelijensia ya Chadema imejuaje?