mimi nitakushindilia mipini kuliko mumeoumeingia joto e??
Umeyaona matusi uliyotukana au unadhani nazungumzia nini?Sijazungumzia itikadi yako bali matusi yako ya nguoni!we jamaa nahisi unasababu na chuki binafsi hasa ukiambiwa au kusikia ukweli
Hivi kuwa na akili timamu ni lazma uwe mpinzani??
Au unadhani watu wote humu ndani ni la saba b kama wewe?
Nini sababu ya kujiita mtu mzima ili hali haukubali ukweli??
Unaelewa maana ya kumheshim mtu??😠
siwezi kujibizana na msungo kama wewe,mimi nitakushindilia mipini kuliko mumeo
Dr Slaa alikuwa makini sana!Unadhani Jiwe anajua kila kitu wanachofanya opponents wake?
Umeyaona matusi uliyotukana au unadhani nazungumzia nini?Sijazungumzia itikadi yako bali matusi yako ya nguoni!
Vizuri kama umeona ulichofanya sio sahihi na kuedit mchango wako!
Intelijensia nzuri ni kuzuia kabla tukio halijafanyika na kuleta madhara. CHADEMA wao wanasubiri kuvua watu uanachama tena bila kuwasikiliza. Nahurumia wanaoshabikia CHADEMAulitaka wavuliwe kabla ya kutenda kosa ili mpate sababu ya kuinanga chadema?
kama kawaida.. akitoka CDM kwenda CCM ni Jembe. Akitoka CCM kwenda CDM ni makapiDr Slaa alikuwa makini sana!
Unaongea kama hujui ndugai na jamaa wengine wanavunja sheria wazi wazi!Baada ya kuapishwa kuwa wabunge!!.......... hahahaaaa!
Tulia wewe mammaliasiwezi kujibizana na msungo kama wewe,
Nb:ukibishana na mpumbavu ,mtaonekana wapumbavu wote.so huo ujinga sina, coz saivi hapa jf max karuhusu la saba kuja kuharibu jukwaa😡😠
Wakati wa Dkt. Slaa CHADEMA iliaminika kwa uwezo wake wa kiintellejensia wa kung'amua mambo kabla ya kutokea na kufukunyua mambo yaliyotokea kujua yalitokeaje.
CHADEMA ya Mnyika sijajua inafeli wapi hadi barua yenye sahihi na muhuri wa katibu mkuu inafika NEC bila uongozi akiwemo KM mwenyewe kujua.
Yaani wanawake 19 wanapanga mbinu tena miongoni mwao wamo Esther Matiko na Sophia Mwakagenda ambao wenzi wao ni viongozi wa CHADEMA halafu intellejensia ya chama imefeli kubaini.
Ina maana yale yaliyoitwa "mapinduzi" yaliyopangwa na Mwigamba Zitto Kabwe na Prof Kitilla ingekuwa ni wakati huu yangeweza kufanikiwa kirahisi sana.
Ukiondoa mbwembwe za mitandaoni na usaidizi wa " kigogo mmoja" CHADEMA ni weupe sana katika intellejensia.
Nawatakia Ijumaa kareem!
Ya Chadema,hata ikiwa hovyo,haiongozi nchi,Wakati wa Dkt. Slaa CHADEMA iliaminika kwa uwezo wake wa kiintellejensia wa kung'amua mambo kabla ya kutokea na kufukunyua mambo yaliyotokea kujua yalitokeaje.
CHADEMA ya Mnyika sijajua inafeli wapi hadi barua yenye sahihi na muhuri wa katibu mkuu inafika NEC bila uongozi akiwemo KM mwenyewe kujua.
Yaani wanawake 19 wanapanga mbinu tena miongoni mwao wamo Esther Matiko na Sophia Mwakagenda ambao wenzi wao ni viongozi wa CHADEMA halafu intellejensia ya chama imefeli kubaini.
Ina maana yale yaliyoitwa "mapinduzi" yaliyopangwa na Mwigamba Zitto Kabwe na Prof Kitilla ingekuwa ni wakati huu yangeweza kufanikiwa kirahisi sana.
Ukiondoa mbwembwe za mitandaoni na usaidizi wa " kigogo mmoja" CHADEMA ni weupe sana katika intellejensia.
Nawatakia Ijumaa kareem!
Wakati wa Dkt. Slaa CHADEMA iliaminika kwa uwezo wake wa kiintellejensia wa kung'amua mambo kabla ya kutokea na kufukunyua mambo yaliyotokea kujua yalitokeaje.
CHADEMA ya Mnyika sijajua inafeli wapi hadi barua yenye sahihi na muhuri wa katibu mkuu inafika NEC bila uongozi akiwemo KM mwenyewe kujua.
Yaani wanawake 19 wanapanga mbinu tena miongoni mwao wamo Esther Matiko na Sophia Mwakagenda ambao wenzi wao ni viongozi wa CHADEMA halafu intellejensia ya chama imefeli kubaini.
Ina maana yale yaliyoitwa "mapinduzi" yaliyopangwa na Mwigamba Zitto Kabwe na Prof Kitilla ingekuwa ni wakati huu yangeweza kufanikiwa kirahisi sana.
Ukiondoa mbwembwe za mitandaoni na usaidizi wa " kigogo mmoja" CHADEMA ni weupe sana katika intellejensia.
Nawatakia Ijumaa kareem!
Dr Slaa alikuwa makini sana!