Intelijensia ya CHADEMA imefia wapi hadi wanachama wao wanaapishwa Ubunge viongozi hawana taarifa?

Wewe ndo hukuwa na taarifa Kama intelejensia ya Chadema ilifahamu Kuna watu wanaenda kuapishwa
 
we jamaa nahisi unasababu na chuki binafsi hasa ukiambiwa au kusikia ukweli
Hivi kuwa na akili timamu ni lazma uwe mpinzani??
Au unadhani watu wote humu ndani ni la saba b kama wewe?
Nini sababu ya kujiita mtu mzima ili hali haukubali ukweli??
Unaelewa maana ya kumheshim mtu??😠
Umeyaona matusi uliyotukana au unadhani nazungumzia nini?Sijazungumzia itikadi yako bali matusi yako ya nguoni!
 
ulitaka wavuliwe kabla ya kutenda kosa ili mpate sababu ya kuinanga chadema?
Intelijensia nzuri ni kuzuia kabla tukio halijafanyika na kuleta madhara. CHADEMA wao wanasubiri kuvua watu uanachama tena bila kuwasikiliza. Nahurumia wanaoshabikia CHADEMA
 
Intelijensia waipate wapi ? Hao ni kushinda mitandaoni tu kujifariji kwa kipigo walichopata kwenye uchaguzi uliopita
 
Wakati wa Dkt. Slaa CHADEMA iliaminika kwa uwezo wake wa kiintellejensia wa kung'amua mambo kabla ya kutokea na kufukunyua mambo yaliyotokea kujua yalitokeaje.

CHADEMA ya Mnyika sijajua inafeli wapi hadi barua yenye sahihi na muhuri wa katibu mkuu inafika NEC bila uongozi akiwemo KM mwenyewe kujua.

Yaani wanawake 19 wanapanga mbinu tena miongoni mwao wamo Esther Matiko na Sophia Mwakagenda ambao wenzi wao ni viongozi wa CHADEMA halafu intellejensia ya chama imefeli kubaini.

Ina maana yale yaliyoitwa "mapinduzi" yaliyopangwa na Mwigamba Zitto Kabwe na Prof Kitilla ingekuwa ni wakati huu yangeweza kufanikiwa kirahisi sana.

Ukiondoa mbwembwe za mitandaoni na usaidizi wa " kigogo mmoja" CHADEMA ni weupe sana katika intellejensia.

Nawatakia Ijumaa kareem!

Intelligensia ya serikali imefia wapi mpaka wanafunzi wanapewa mimba hawajui? Yani swali unalouliza ni sawa na hili!!!!
 
Wakati wa Dkt. Slaa CHADEMA iliaminika kwa uwezo wake wa kiintellejensia wa kung'amua mambo kabla ya kutokea na kufukunyua mambo yaliyotokea kujua yalitokeaje.

CHADEMA ya Mnyika sijajua inafeli wapi hadi barua yenye sahihi na muhuri wa katibu mkuu inafika NEC bila uongozi akiwemo KM mwenyewe kujua.

Yaani wanawake 19 wanapanga mbinu tena miongoni mwao wamo Esther Matiko na Sophia Mwakagenda ambao wenzi wao ni viongozi wa CHADEMA halafu intellejensia ya chama imefeli kubaini.

Ina maana yale yaliyoitwa "mapinduzi" yaliyopangwa na Mwigamba Zitto Kabwe na Prof Kitilla ingekuwa ni wakati huu yangeweza kufanikiwa kirahisi sana.

Ukiondoa mbwembwe za mitandaoni na usaidizi wa " kigogo mmoja" CHADEMA ni weupe sana katika intellejensia.

Nawatakia Ijumaa kareem!
Ya Chadema,hata ikiwa hovyo,haiongozi nchi,
Jiulize Intelligensia ya nchi chini ya ccm hii,imefia wapi mpaka skandali za wizi wa kutosha zinatokea,ilikuwa wapi wakati wa EPA,Richmond,Escrow,ilikuwa wapi Mbunge anapigwa risasi 18,bungeni mchana kweupeee,ipo wapi mpaka leo Kuna waharifu imeshindwa kuwatambua,"wasiojurikana,"Hawa wanaua,wanateka,wanaweka watu kwenye viroba
 
Mkuu, walitubabatiza wakati tukiwa kwenye harakati za kutafuta balozi za kukimbilia kujificha wakatu-outsmart na ku-take advantage. Si unajua wakati huo habari ya mujini ilikuwa ni kujificha ubalozini na kuomba hifadhi 😂😂😂
 
Bwashee hiz ni zama ambazo kila kilichofikiriwa kutowezekana kinawezekana, ukijumlisha na urugaruga
Wakati wa Dkt. Slaa CHADEMA iliaminika kwa uwezo wake wa kiintellejensia wa kung'amua mambo kabla ya kutokea na kufukunyua mambo yaliyotokea kujua yalitokeaje.

CHADEMA ya Mnyika sijajua inafeli wapi hadi barua yenye sahihi na muhuri wa katibu mkuu inafika NEC bila uongozi akiwemo KM mwenyewe kujua.

Yaani wanawake 19 wanapanga mbinu tena miongoni mwao wamo Esther Matiko na Sophia Mwakagenda ambao wenzi wao ni viongozi wa CHADEMA halafu intellejensia ya chama imefeli kubaini.

Ina maana yale yaliyoitwa "mapinduzi" yaliyopangwa na Mwigamba Zitto Kabwe na Prof Kitilla ingekuwa ni wakati huu yangeweza kufanikiwa kirahisi sana.

Ukiondoa mbwembwe za mitandaoni na usaidizi wa " kigogo mmoja" CHADEMA ni weupe sana katika intellejensia.

Nawatakia Ijumaa kareem!
 
Back
Top Bottom