kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Wivu wa kike huu.
Beki.unayoisema ndiyo beki iliyofungwa magoli machache zaidi katika premiere league.
Kupoteza mechi mbili haiwezi kuwa kigezo cha uchambuzi wako zaidi ya kuongozwa na kiroho papo
Beki.unayoisema ndiyo beki iliyofungwa magoli machache zaidi katika premiere league.
Kupoteza mechi mbili haiwezi kuwa kigezo cha uchambuzi wako zaidi ya kuongozwa na kiroho papo
Great Mikia for the Good Fight . But bado hamna kikosi cha maana. Sidhani kama hiki kikosi kitawapeleka robo fainali. Mtaishia katikati Tu . Sijaona kama mna Beki ya kucheza As Vita , TP Mazembe et etc