Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,043
Naona review za processor mpya za Ryzen ni kuwa zimeipiga mtama mkali intel mbali kabisa likija suala la gaming. Wataalam wa mambo wanasema kwamba technology ya AMD ni hatari sana na intel bado anahangaika na 7nm kiasi kwamba hata processor alizotoa zilikuwa chache kiasi kwamba wateja wake waliamua kutazama kwingine, na AMD akachukua nafasi kujazia huo uhaba. Wataalam wa mambo wanadai japo intel bado ni Giant kwenye ulimwengu huo akiwa na market share kubwa kabisa, ila wanasema mambo yakiendelea hivi atakula za uso. AMD kwasasa amejiamini kiasikwamba processor zake zinauzwa bei kuliko za intel wakati siku za nyuma alikuwa yeye anauza cheap.
Chief-Mkwawa njoo uongeze nyama
Chief-Mkwawa njoo uongeze nyama