naombeni msaada simu yangu ina uwezo wa instargam lakini nikii download haikubali msaada wakuu
Mkuu achana na mambo ya Instargram yatakuwehusha tu maana kule kuna mabeef ya kufa mtu huku Kajala na Wema kule Zamaradi na Ray C etc. Aah watu wanaitumia vibaya sana hiyo makitu
Mkuu achana na mambo ya Instargram yatakuwehusha tu maana kule kuna mabeef ya kufa mtu huku Kajala na Wema kule Zamaradi na Ray C etc. Aah watu wanaitumia vibaya sana hiyo makitu