johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,447
Haijajulikana hasa kilichompeleka kama ni hili zoezi linaloendelea la kuwasaka baba halali au ana biashara zake nyingine. Niishie hapo!
Bila picha, bora uishie hapohapo tu.....Haijajulikana hasa kilichompeleka kama ni hili zoezi linaloendelea la kuwasaka baba halali au ana biashara zake nyingine. Niishie hapo!
Naona umeamua umtukane prince hadharani.... tehteehhhIngependeza zaidi kama Makonda angeonyesha mfano wa jinsi anavyotunza watoto wake. Mnyama asie na mkia kama ng'ombe haiwezekani hahoji kwa nini ng'ombe mzembe anani'ng'niza mkia!!
Lengo LA muvi tayari tusubirie action, Mzee wa white wamemsaka kweli uzuri anajua michezo ya mabushmen stone age maprimitive waliokuja town na gari za ng'ombe,ndo maana ukaa kimya ili asiingie 18 zao ye born town.Ingependeza zaidi kama Makonda angeonyesha mfano wa jinsi anavyotunza watoto wake. Mnyama asie na mkia kama ng'ombe haiwezekani hahoji kwa nini ng'ombe mzembe anani'ng'niza mkia!!
Eti prince huyo naibu prezzo jamanNaona umeamua umtukane prince hadharani.... tehteehhh
You never know pengine Na yeye ni mama aliyetelekezwa!?Kwani zamu ya wababa imefika? Si bado ? Nami niishiie hapo.
Tehteehhh....E
Eti prince huyo naibu prezzo jaman