goodfool
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 1,664
- 993
Wakuu,
Japo sijui kwa undani suala hili, ila nitoe pole kwa familia hiyo na kwa mchumba wake kama taarifa zilivyokua zinaeleza.
Naguswa na jinsi tukio hili lilivyotokea maana linafananishwa na utekaji na mambo ya Ransom (kulingana na chanzo nlichosoma)
Inasikitisha,
Kunawapo waliozusha kuwa huenda wauaji walikuwa ni wkopeshaji, yaani zile sehemu watumishi wanaacha kadi na kuchukua pesa, so labda hawakulipwa,
Nimeshtuka maana kunamtumishi alishawahi kusema ametishiwa maisha na watu kama hao yaani wakopeshaji kwa kuacha kadi, it possible kwanu hali imekuwa ngumu.
Poleni, inauma inauma,
Mungu awatie nguvu na ujasiri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Japo sijui kwa undani suala hili, ila nitoe pole kwa familia hiyo na kwa mchumba wake kama taarifa zilivyokua zinaeleza.
Naguswa na jinsi tukio hili lilivyotokea maana linafananishwa na utekaji na mambo ya Ransom (kulingana na chanzo nlichosoma)
Inasikitisha,
Kunawapo waliozusha kuwa huenda wauaji walikuwa ni wkopeshaji, yaani zile sehemu watumishi wanaacha kadi na kuchukua pesa, so labda hawakulipwa,
Nimeshtuka maana kunamtumishi alishawahi kusema ametishiwa maisha na watu kama hao yaani wakopeshaji kwa kuacha kadi, it possible kwanu hali imekuwa ngumu.
Poleni, inauma inauma,
Mungu awatie nguvu na ujasiri.
Sent using Jamii Forums mobile app