Hasara
Senior Member
- Dec 29, 2006
- 141
- 8
Inside infor. matokeo ya REDIT mpaka sasa JK na serikali yake Kutoka 80.28% hadi 47.60% mchakato huu bado una endelea sehemu mbali mbali nchini , sehemu kubwa wana tumia simu kuwaambia wahusika kukusanya maooni mikoani watu wengi wanaoulizwa ni makada wa chama husika,na mambo mengine yata malizikia mezani. wananchi wengi wamekata tamaa na ,wanaona hii ni siasa tu,
serikali ya kikwete hina hali ngumu sana wanakiri wanao kusanya maoni ya watu. kwaza ni tuhuma zinazo kabili viongozi wa awamu ya nne na ya tatu.
nitaendelea kuwahabarisha inavyo kwenda mchakato mzima wa kukusanya maoni.
asanteni
serikali ya kikwete hina hali ngumu sana wanakiri wanao kusanya maoni ya watu. kwaza ni tuhuma zinazo kabili viongozi wa awamu ya nne na ya tatu.
nitaendelea kuwahabarisha inavyo kwenda mchakato mzima wa kukusanya maoni.
asanteni