Insane Anahitaji Huruma, Kusaidiwa. Sio Kulaumiwa, Kulaaniwa na Kususwa! He Needs Help, Tumsaidieje?

Kwanza tuanze na kukanyana kwa unafiki,
Inaonekana mzee Shika siyo mwendawazimu kama watu walivyosambaza ujumbe kwamba ni mbovu wa akili,

Wengine wakasema hana nyumba anadaiwa kodi, kumbe watanzania unafiki tutauacha lini?
Mkuu Britanica, pole!. Nimemsikiliza the man is insane!, you can just tell by look, ila kwa sisi ambao tumefanya money transfer, hakuna malipo yoyote ya bima yoyote ku withdraw fedha zako kutoka benki yoyote, Zaidi ya kukatwa tax na kulipia bank charges ambazo zote zinakatwa, toka kwenye hiyo hiyo fedha yako!. Jamaa kasema anatakiwa kulipa bima ya us $ 150 ndipo alipwe.

Insane anatambulika just by look, the way he dresses, and his mode of life.

Hata Dr. Shika, ni insane anayehitaji kusaidiwa na sio kubezwa.
Pascal.
 
Acha kumuita Mwehu Mtu ambaye humjui! Usije onekana mwehu mwenyewe! Kwanza kwa Elimu yake tu na yako, tayari Mwehu keshajulikana!
Mkuu Pharaoh, pitia bandiko hili litakusaidia kujua aina tofauti za insanity, na baadhi ya maneno yana sound vizuri yakitamkwa kwa Kiingereza kuliko kutamka kwa Kiswahili.

Paskali
 
Matukio hufanywa na watu!
Idea ni zao la akili za watu!
Discussion hufanywa na watu!

Akili ya mtu imebeba megatones of power only to be derived and transformed. transformed. During that transformation some powers might become or seems to apear like impossible to originate from the person at the epicenter.

Hapo ndio tunajikuta kuwa tunapingana na usemi wako Pascal Mayalla (umeunukuu mahali) kuwa great mind discusses idea.

Idea, a megaton power from human brain can not be separated from the mighty body harbors it!

The idea is discussed together and alongside the initiator.

In that case huwezi kukwepa kumjadili mtu hata uwe na akili kubwa kiasi gani.

Kwa mfano kuna mtu mmoja muhuni anatoa tamko kuwa kujadili siasa ni marufuku!

Unajadilije wazo la kutojadili siasa bila kumjadili pia aliyetoa tamko hilo?

To me great minds discuss idea, events and people altogether as well as singular.

We all insane in different levels.

Wachizi wadhibitiwe na wachizi fresh wasipewe madaraka.
 
Matukio hufanywa na watu!
Idea ni zao la akili za watu!
Discussion hufanywa na watu!

Akili ya mtu imebeba megatones of power only to be derived and transformed. transformed. During that transformation some powers might become or seems to apear like impossible to originate from the person at the epicenter.

Hapo ndio tunajikuta kuwa tunapingana na usemi wako Pascal Mayalla (umeunukuu mahali) kuwa great mind discusses idea.

Idea, a megaton power from human brain can not be separated from the mighty body harbors it!

The idea is discussed together and alongside the initiator.

In that case huwezi kukwepa kumjadili mtu hata uwe na akili kubwa kiasi gani.

Kwa mfano kuna mtu mmoja muhuni anatoa tamko kuwa kujadili siasa ni marufuku!

Unajadilije wazo la kutojadili siasa bila kumjadili pia aliyetoa tamko hilo?

To me great minds discuss idea, events and people altogether as well as singular.

We all insane in different levels.

Wachizi wadhibitiwe na wachizi fresh wasipewe madaraka.
Mkuu Jogi, hizi levels za argument yako ni za juu sana kwa sisi watu wa kawaida kuelewa na kutenganisha kati ya kujadili watu na kujadili issues.

Mfano kuna baadhi ya viongozi wetu ni vichaa kabisa, ukiwajadili wao kama watu na kuwaita ni vichaa, utahesabika umewatukana viongozi wako hivyo kustahili adhabu, lakini ukiujadili ukichaa wao bila kuwataja, unakuwa umejadili issue ya ukichaa na sio kujadili watu hao vichaa.

Hivyo nasisitiza kwa mustakabali mwema wa taifa letu, sisi jf kama the home of Great Minds, tunapaswa kuwa Great Thinkers, hivyo tusi discuss watu, tunajadili issues na ideas.

Refer
Kuwa Kichaa Sio Mpaka Kuokota Makopo!. Jee Tanzania Tuna Vichaa Wengi Kuliko Tunavyojidhania?!.
Paskali
 
Mkuu Jogi, hizi levels za argument yako ni za juu sana kwa sisi watu wa kawaida kuelewa na kutenganisha kati ya kujadili watu na kujadili issues.

Mfano kuna baadhi ya viongozi wetu ni vichaa kabisa, ukiwajadili wao kama watu na kuwaita ni vichaa, utahesabika umewatukana viongozi wako hivyo kustahili adhabu, lakini ukiujadili ukichaa wao bila kuwataja, unakuwa umejadili issue ya ukichaa na sio kujadili watu hao vichaa.

Hivyo nasisitiza kwa mustakabali mwema wa taifa letu, sisi jf kama the home of Great Minds, tunapaswa kuwa Great Thinkers, hivyo tusi discuss watu, tunajadili issues na ideas.

Refer
Kuwa Kichaa Sio Mpaka Kuokota Makopo!. Jee Tanzania Tuna Vichaa Wengi Kuliko Tunavyojidhania?!.
Paskali
Mia kwa mia, tusimuudhi mchinja mbwa maana imenenwa kuwa tutakiepuka kichaa au wazimu na pengine vyote kwa pamoja(kichaa na wazimu)

Kuujadili uchinja mbwa mchinja mbwa haponi kujadiliwa, usimtajie "wehu" wake kama ndio jina lake, bali utambue kuwa "wake" ndio yeye! na "yeye" ndio mtu mwenyewe.
Kwa mfano ukisema "mbeleko ya vyeti feki"
Automatically mwenye mbeleko atasubiria umtaje kwa jina lake na anayebebwa atatega sikio kama mke wa matala!
Mwishowe huwi ispokuwa umewajadili watu.
 
ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya, alifikishwa mahakamani jana. Ni matokeo ya tuhuma zinazomuandama kwa muda mrefu sasa.

Yameshasemwa na yanaendelea kusemwa mengi. Hisia ni tofauti kuhusu yanayomtokea Sabaya. Kila mtu anataka aseme kitu. Nami nimeshaulizwa kwa nini sisemi chochote. Ngoja basi nitoe neno. Nitachukua muktadha maalum, bila kuingilia uhuru wa mahakama.
Tuhuma za Sabaya ni nyingi, zinaogopesha. Zinashangaza kupita kiasi. Zinahitaji akili ya juu mno kuzichambua. Ukizichukua tuhuma za Sabaya na kuziweka kwenye kapu la uhalifu sawa na uhalifu mwingine, hilo ni kosa kubwa.

Tafakari, Sabaya ni binadamu. Kila binadamu ana ubinadamu, vinginevyo kuwe na shida kwenye ubinadamu wake.

Tafakari zaidi, Sabaya akateuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya. Kazi ya kutumikia wananchi. Binadamu wenzake. Kila binadamu anafamu wito wa ubinadamu ni kuwatendea haki binadamu wenzake. Vinginevyo ubinadamu wake uwe na upungufu.

Inafahamika, kuchaguliwa au kuteuliwa kuwa kiongozi ni zawadi kubwa mno. Kuilipa hiyo zawadi si kufanya chochote isipokuwa kuwatumikia watu kwa upendo na uadilifu.

Sabaya akiwa mkuu wa wilaya, akawa anatuhumiwa kupora mali za watu, kuonea anaowaongoza. Kulazimisha mapenzi kwa wanawake na hata kubaka. Hizo tuhuma ukizisikia, kama una kichwa kizuri lazima kwa asilimia 50 utadhani anasingiziwa.

Ni kwa sababu, mtu mwenye akili timamu hawezi kufanya hata robo ya yale anayotuhumiwa nayo Sabaya.

Mtu mzima anawezaje kuteka wake za watu na kulazimisha mapenzi? Anaingiaje kwenye hoteli na kulazimisha aoneshwe chumba cha mteja mwanamke, ili iweje? Anawezaje kulazimisha wafanyabiashara wampe pesa bila kufanyia kazi? Anawezaje kuteka watu na kuwatesa? Anafyatuaje risasi hovyo? Mtu mwenye akili timamu kweli?

Kwa kiongozi, vitendo vyote hivyo kwa sehemu kubwa vinanajisi uongozi. Je, Sabaya kama mtu timamu, hakutambua uongozi ni upendeleo na ulinzi wake ni uadilifu?

Ndio maana nikasema, tuhuma za Sabaya kwa asilimia kubwa hukaribisha hisia kwamba anasingiziwa. Maana mtu mwenye akili timamu hawezi kufanya japo robo ya vitendo anavyotuhumiwa navyo Sabaya.

Sasa, hata baada ya kufikishwa mahamani, lipo eneo la kulisemea. Ni namna ya kuingia ndani zaidi kwenye tuhuma zake.

Nimeshasema, ni kosa kubwa kuziweka tuhuma za Sabaya katika kapu moja la uhalifu, sawa na uhalifu mwingine.

Kama yote ambayo Sabaya anatuhumiwa nayo ni kweli kayatenda, basi uhalifu mkubwa upo kwenye namna ubongo wake unavyofanya kazi. Inawezekana haupokei na kutafsiri mambo kama binadamu wa kawaida.

Kama ndivyo, hata sasa akiwa mahabusu, inawezekana akawa haelewi kwa nini amekamatwa, kwani yote aliyokuwa anafanya (ikiwa ni kweli), yeye anaona alikuwa sahihi. Tena, si ajabu anajiona anasingiziwa.

Watu wenye namna ya kipekee katika kupokea na kutafsiri mambo kijamii huitwa "psychopath". Ni tafsiri sawa na mgonjwa wa akili. Kwa kawaida psychopath huwa wana matatizo ya afya ya akili.

Kama kutakuwa na dhamira ya kumtendea haki Sabaya, basi itabidi kumpima afya ya akili. Maana, kama kweli alitenda yote anatuhumiwa nayo, maana yake atakuwa psychopath. Mtu timamu asingethubutu kufanya hata moja ya 10 ya anayotuhumiwa kufanya.

Binafsi ningetamani, kabla hata hajafikishwa mahakamani, wakati wa kumhoji Sabaya ili kukamilisha taarifa za mashitaka dhidi yake, kungekuwa na wataalamu wa afya ya akili katika mahojiano.

Hapa sipendekezi Sabaya apewe msamaha kama tuhuma dhidi yake zina ukweli, la, haki itendeke. Wahalifu wenye matatizo katika afya ya akili hufungwa, ila kuna namna ya kuwasaidia kipindi wanatumikia adhabu zao.

Kinachonishawishi kuona ulazima wa Sabaya kupimwa afya ya akili ni kwa sababu nataka kujua ubongo wake ulikuwa unawaza nini alipokuwa akitenda uhalifu alioutenda. Hii ni kama kweli alitenda.

Je, ubongo wake ulikuwa unawaza nini? Kwamba yeye ni mkubwa sana kwa hiyo angetenda chochote kwa watu bila lolote kumrudia? Alikuwa anaamini ni haki yake kutendea watu alivyowatendea? Alichokuwa anakitafuta ni kipi hasa? Aliwahi kufikiria kwamba kila tendo lake baya lingemrudia? Ni ni kama kweli tuhuma dhidi yake ni za kweli.

Hata sasa, je, anachukuliaje mashitaka dhidi yake? Anahisi anaonewa? Anachukulia kesi dhidi yake ni ya kisiasa? Anajua mahali alipo? Au kuna mtu alikuwa anamtuma, anampa kiburi, sasa hivi hayupo? Kuna ulazima mkubwa wa kumpima afya ya akili. Itasaidia pakubwa.

Mtazamo wangu katika tuhuma za Sabaya upo hapa, ama anasingiziwa, na kama hasingiziwi, basi kichwani sio mzima. Ni psychopath.

©Luqman Maloto
Naunga mkono hoja, kama tuhuma zote zinazomuhusu Sabaya tunazosoma kwenye gazeti la Raia Mwema na mitandao ya kijamii, ni za kweli, then Sabaya ni Psychopath, ni insane, alikuwa hajui atendalo, anahitaji kusaidiwa. Hatua ya kwanza ni kupata wakili mzuri, atakayecheza na defence ya insanity.

Kuna uwezekano Ole Sabaya ni Insane, hivyo anahitaji kusaidiwa kama nilivyo shauri hapa,

Na hiyo insanity inawezekana umetokana na hoja za bandiko hili.

P
 
Wewe unijui mm jf kuna mtu alikuwa na sifa bora hapa jf kapambana na mimi sikuizi sifa zimeporomoka kuwa ni zuzu tu sasa wewe mwache huyo Pascal Mayalla nimuonyeshe kazi na huu ujinga wake
Hiyo ni ndoto ... ni upumbaavu ,....ukweli ni kwamba japo Rais tuliye naye ni mpuuzi kichwani ila alikurupuka kushobokea chanjo
fanya,
SASA WEWE BOYA
Pascal Mayalla mwandishi zuzu mkuu unatuambia ujinga gani

Hivi wewe kweli ni muandishi au uliokotwa jalalani, tumefanya upumbavuu au upuuzi,mimi point zangu nazitoa kama msumali wa moto
Hadi kuna kipindi JPM alinifuata pm pale nilipo mchana wazi wazi kuwa amekosea na mimi nikamwambia kuwa huo ni upumbaaavu
Wewe bila shaka utakuwa ni mmoja wa wasomi wa vyoo vikuu tz ,maana unaongea mafiii mafiii tu
Wanabodi, huyu ni mwana jf mwenzetu, namhisi kama hayuko sawa upstairs, he is insane, naombeni tumsaidie, kwanza ni ukikutana na post yake yoyote anatukana watu ovyo, kwanza mkongolee kitufe cha thanks, kisha usimjibu kwa ukali au kumtukana, be gentle muonyeshe tunampenda na tunamjali, wazimu utamshuka.

Nimeamua kujitolea kumsaidia huyu dogo, maana watu wa type hii wanahitaji huruma, upendo na kusaidiwa, vinginevyo watakuja kuishia kuokota makopo!.

P.
 
Wanabodi, huyu ni mwana jf mwenzetu, namhisi kama hayuko sawa upstairs, he is insane, naombeni tumsaidie, kwanza ni ukikutana na post yake yoyote anatukana watu ovyo, kwanza mkongolee kitufe cha thanks, kisha usimjibu kwa ukali au kumtukana, be gentle muonyeshe tunampenda na tunamjali, wazimu utamshuka.

Nimeamua kujitolea kumsaidia huyu dogo, maana watu wa type hii wanahitaji huruma, upendo na kusaidiwa, vinginevyo watakuja kuishia kuokota makopo!.

P.

Good idea, but my Question "Je Ni wewe tu anakujibu hovyo au na watu wengine? Maana Mimi naamini Wewe Ni mtu wa hovyo"
 
Good idea, but my Question "Je Ni wewe tu anakujibu hovyo au na watu wengine? Maana Mimi naamini Wewe Ni mtu wa hovyo"
Duh...!. Nimeweka baadhi ya post zake nikidhani mtu unasoma kabla ya kujibu.
Mimi nakiri sio mtu wa maana, mimi ni mtu wa hovyo, sasa tuendelee na mada iliyo mezani.
P
 
Duh...!. Nimeweka baadhi ya post zake nikidhani mtu unasoma kabla ya kujibu.
Mimi nakiri sio mtu wa maana, mimi ni mtu wa hovyo, sasa tuendelee na mada iliyo mezani.
P
Hakika umedhihirisha kwamba wewe ni kaka mkubwa; kaka mkubwa kwa kawaida hawezi kumchapa viboko dogo; thanks brother, ukubwa sometimes ni JILALA, kila uchafu unatupiwa wewe and you have to handle it
 
Back
Top Bottom