Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 264,234
- 1,075,616
Heheheee haloooo
Kinachokutesa wivu mtoto wa kiume kwa mwanaume mwenzio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinachokutesa wivu mtoto wa kiume kwa mwanaume mwenzio
Angalau umesema kweli kwamba kwa sasa hakuna mshindani wake mpaka aje mwingineKiuhalisia Diamond kashapoteza ladha ya mziki yaani kashachuja. Nyimbo zake alizoimba miaka kadhaa iliyopita ndio zilikuwa Ngoma Kali. Akitokea msanii mwenye uwezo mzuri anampoteza diamond kwenye ramani ya mziki. Sahizi ni mda mchache tusubirie atokee msanii underground mwenye nyimbo Kali.
HahahhahahahaahhaTeam masebene woyoooo..wallah huu wimbo najikutaga nacheza tu
Hiyo ghost house mbona inaonekana sio series movie same to mastermind.Yah ni nzuri sana
Hotel ghost ni series ya kikorea Wala sio movie hata hiyo Mastermind ni series ya kichina Wala sio movieHiyo ghost house mbona inaonekana sio series movie same to mastermind.
Movie /movies, also known as films, are a type of visual communication which uses moving pictures and sound to tell stories or teach people something. People in every part of the world watch movies as a type of entertainment, a way to have fun. For some people, fun movies can mean movies that make them laugh, while for others it can mean movies that make them cry, or feel afraidHotel ghost ni series ya kikorea Wala sio movie hata hiyo Mastermind ni series ya kichina Wala sio movie
Aisee! Jamaa kapata bonge LA promo maana hizo views si mchezo. Sasa huyu Innos ' B asilale. Achangamke kutoa kazi Kali zaidi.Tena sio mileage ndogo ingawaje kuna watu watajifanya hawalioni kabisa hili, na usishangae ukakuta watu wenyewe hata huyo Innos'B walikuwa hawamfahamu hapo kabla!
Huu ubishi wa kwenye vijiwe vya kahawa.Kwa hiyo wimbo ukichezeka na mix nzuri ndio mkali?
Haya tuambie maana ya neno Yope
😂😂😂😂Huu ubishi wa kwenye vijiwe vya kahawa.
Anaweza ila hapendi show off.Ali Kiba hawezi?
HahaaaYani nilikua najiuliza ni nani ameimba? hapa jirani na kwangu kila siku nakasikia hako kamdundo nabaki kutikisa kiuno tuu kumbe ni mondi aisee katamu sana
Yani nilikua najiuliza ni nani ameimba? hapa jirani na kwangu kila siku nakasikia hako kamdundo nabaki kutikisa kiuno tuu kumbe ni mondi aisee katamu sana
Kìba vìpi?Kiuhalisia Diamond kashapoteza ladha ya mziki yaani kashachuja. Nyimbo zake alizoimba miaka kadhaa iliyopita ndio zilikuwa Ngoma Kali. Akitokea msanii mwenye uwezo mzuri anampoteza diamond kwenye ramani ya mziki. Sahizi ni mda mchache tusubirie atokee msanii underground mwenye nyimbo Kali.