Innoss'B ft Diamond video, bonge la wimbo

Kiuhalisia Diamond kashapoteza ladha ya mziki yaani kashachuja. Nyimbo zake alizoimba miaka kadhaa iliyopita ndio zilikuwa Ngoma Kali. Akitokea msanii mwenye uwezo mzuri anampoteza diamond kwenye ramani ya mziki. Sahizi ni mda mchache tusubirie atokee msanii underground mwenye nyimbo Kali.

Unataka like na comment za watu zikumwagike ww tu.....Diamond ni mfanya bihashara wa muziki sio muuza sura.kaona chance kaingia mzima mzima Dogo ni mpambanaji!
 
Certified hater
kaka kuhate star ambaye kila akiamka anazidi kuwa star ni kujipa mzigo usio stahili na hayo mambo hufanywa na watu stress zao.

hapa ukweli ni kwamba Yope original version ni kali mnoo hadi Daimond ametamani kuwa sehemu ya nyimbo hiyo ndiyo akaomba ikafanyika remix ili kuingiza vipande vyake , au unataka kusema diamond kashiriki kwenye nyimbo ambayo hajaipenda???
 
kaka kuhate star ambaye kila akiamka anazidi kuwa star ni kujipa mzigo usio stahili na hayo mambo hufanywa na watu stress zao.
hapa ukweli ni kwamba Yope original version ni kali mnoo hadi Daimond ametamani kuwa sehemu ya nyimbo hiyo ndiyo akaomba ikafanyika remix ili kuingiza vipande vyake , au unataka kusema diamond kashiriki kwenye nyimbo ambayo hajaipenda???
Hoja yako sasa ni ipi!?
 
Yubano nikakati,nzobano nikakati. 🎵🎵🎵🎵🎵🎵......Yubano nikakati,nzobano nikakati🎵🎵🎵🎵🎵🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎼🎼🎼🎼🎹🎹🎹🎹🎹................
 
Kiuhalisia Diamond kashapoteza ladha ya mziki yaani kashachuja. Nyimbo zake alizoimba miaka kadhaa iliyopita ndio zilikuwa Ngoma Kali. Akitokea msanii mwenye uwezo mzuri anampoteza diamond kwenye ramani ya mziki. Sahizi ni mda mchache tusubirie atokee msanii underground mwenye nyimbo Kali.

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Endeleeni kusubiri 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mtateseka sana safari hii
 
umenena
Huu wimbo original umetoka mwezi Mmoja uliopita ila umekaa wiki tatu uka ukiwa na views laki moja tu YouTube.

ila toka imetoka remix ambayo diamond ameingiza vipande vyake humo sasa nyimbo zote mbili yope original toka juzi hadi Leo inaviews 1.7na yope remix ndani ya siku mbili in views 1.5..

Hii maana yk nn ni kwamba diamond ndio kaupaisha huo wimbo na kumpaisha huyo onnos'b ndani ya siku tatu tu.

Inshort wasanii wa east, central na south of Africa wanatakiwa kumuheshimu diamond Sana huyo mtu anawashabiki damu anaweza kukufanya ukashine within a hour tu hii ni hatari...
 

Similar Discussions

16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom