Wild sniper
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 4,353
- 8,462
hakuna msanii wa kumpoteza Diamond kwa sasa Tz hii na miaka 5 mbele HAKUNA. Huo ndo ukweli mchungu.Kiuhalisia Diamond kashapoteza ladha ya mziki yaani kashachuja. Nyimbo zake alizoimba miaka kadhaa iliyopita ndio zilikuwa Ngoma Kali. Akitokea msanii mwenye uwezo mzuri anampoteza diamond kwenye ramani ya mziki. Sahizi ni mda mchache tusubirie atokee msanii underground mwenye nyimbo Kali.