johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,777
- 141,649
Najua January Makamba amekuwepo kamati ya Nishati pale bungeni.
Stella Manyanya ni miongoni mwa wazalendo 5 walioizima Richmond na kupelekea PM Lowassa kujiuzulu.
Alikuwa na akina Albert Mtangi, Lucas Selelii, Dr Harrison Mwakyembe na mzee Shelukindo ambao wote hawapo bungeni kwa sasa.
January Makamba angetosha sana pale wizara ya Uwekezaji zama hizi tunazofungua Uchumi kutokana na " Connections" zake.
Mungu wa mbinguni awabariki!
Stella Manyanya ni miongoni mwa wazalendo 5 walioizima Richmond na kupelekea PM Lowassa kujiuzulu.
Alikuwa na akina Albert Mtangi, Lucas Selelii, Dr Harrison Mwakyembe na mzee Shelukindo ambao wote hawapo bungeni kwa sasa.
January Makamba angetosha sana pale wizara ya Uwekezaji zama hizi tunazofungua Uchumi kutokana na " Connections" zake.
Mungu wa mbinguni awabariki!