Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Leo nipo jimbo la Siha na hali siyo nzuri hata kidogo kwa mgombea wa CCM ambaye ni naibu Waziri serikali za mitaa: Mheshimiwa Aggrey Mwanri hivi sasa anapumulia kwa mashine na yaelekea ataanguka vibaya sana kutokana na wananchi kumchoka. Tuhuma za kujinyakulia mashamba yeye na swahiba zake ni kero kubwa huku. Uendeshaji wa halmashauri usiozingatia maadili nao kuna msuta Mheshimiwa huyu ambaye ni kipenzi cha JK.
Wapigakura ambao wengi wao ni vijana hawana ajira na wanakerwa na tabia ya Mbunge wao kutoa kandarasi kwa wageni na wao kubaki kuishia kuwa watamazaji tu.
Pia kuna ile hali ya wapigakura kujiuliza hivi ni wewe tu hakuna mwana Siha mwingine anayeweza kuliongoza jimbo? Ni maswali ambayo Mheshimiwa Mwanri mpaka sasa hana majibu hata kidogo
Mgombea wa Chadema aitwaye Injinia Humphrey Tuni yaelekea ndiyo chaguo la wengi huku. NEC wasiporuhusu wapigakura kuwepo mita 200 kutoka katika vituo vya kupiga kura na matokeo yakachakuchuliwa vurugu zitaweza kutokea.
Wapigakura ambao wengi wao ni vijana hawana ajira na wanakerwa na tabia ya Mbunge wao kutoa kandarasi kwa wageni na wao kubaki kuishia kuwa watamazaji tu.
Pia kuna ile hali ya wapigakura kujiuliza hivi ni wewe tu hakuna mwana Siha mwingine anayeweza kuliongoza jimbo? Ni maswali ambayo Mheshimiwa Mwanri mpaka sasa hana majibu hata kidogo
Mgombea wa Chadema aitwaye Injinia Humphrey Tuni yaelekea ndiyo chaguo la wengi huku. NEC wasiporuhusu wapigakura kuwepo mita 200 kutoka katika vituo vya kupiga kura na matokeo yakachakuchuliwa vurugu zitaweza kutokea.