manndungu
JF-Expert Member
- Jul 9, 2020
- 496
- 473
''Timu hizi zinajiendesha kwa hasara kwa miaka mingi ndio maana zimekwama. Ukisema hivi mtu anaweza asikuelewe lakini ukitazama mapato ya klabu na matumizi ndio utajua kwanini zinajiendesha kwa hasara'' - Eng. Hersi Said Mkurugenzi wa Uwekezaji GSM.
#KipengaXtra
#KipengaXtra