Sinkala, acha usanii bana!...
https://www.jamiiforums.com/post_thanks.php?do=post_thanks_add&p=1378306&securitytoken=1292476868-7816e0570ab95a9c44ceeba691a2c8eec336f240
Aisee wewe umenishtukia! Ila sijagongewa senksi siku nyingi, bahati mbaya jaribio langu limeshindikana. Hata napo mnisamehe kwa usumbufu, japo niliweka kwenye jukwaa la udaku.
Sinkala ulitaka thanks za bure sio? Umesahau kwamba linki za thanks zinatofautiana kwa kila ID na post...
Nina vocha ambayo ukiingiza, utaweza kupiga bure kwenda popote. Ili wahusika wasiishtukie, atakayebonyeza HAPA nitapata ID yake na nitamtumia kwenye PM. Ukiipata usirudi kuiweka hadharani ili tuendelee kufaidi.
Aisee wewe umenishtukia! Ila sijagongewa senksi siku nyingi, bahati mbaya jaribio langu limeshindikana. Hata napo mnisamehe kwa usumbufu, japo niliweka kwenye jukwaa la udaku.