Car4Sale Ingia hapa chagua Gari (Magari mazuri bei nzuri) wazee wa kulenga!

Wewe una ufahamu wa magari, wengi hawajui kuwa mengine yameuzwa kwa minada baada ya kutumika serikalini vya kutodha na vikapewa namba D
Gari inaweza kuwa namba D afu kwa hiyo bei bado unaweza ukawa umepigwa... Inategemea na hali ya gari mzee usikariri namba. Zipo namba B zimepaki tu au ruti masaki ruti m city na ikawa imenyooka kuliko hizo D
 
Unashangaa unakuta ile Rav 4 ya mwanzo ina miaka 5 ipo Tanzania..lakini inauzwa 13,000,000 ambayo ni $5600 yani bei ya Japan kabisa hadi unashangaa hawa madalali matatizo yao ni yepi..

Mambo ya salvage value kwao hayahusiki!!
 
Watanzania ndio maana hatuendelei, mtu anaenda japan kulinunua gari kwa milioni 3 analileta bongo analiuza milioni 10 mpaka 15...hii ni dhuluma kabisa..mleta mada kama na wewe uko hivyo acha..
 
Hapa tatizo ni hiyo rangi ya mavazi ya Humphrey polepole....
Mashine imenyooka

Make: TOYOTA
Model: RAV 4
Fuel: PETROL
Transmition: AUTOMATIC
Colour: GREEN
Year: 1998
Engine Type: 3S
Cc: 1998
Seating Capacity: 5 SEATER

Description: 2 AIRBAGS, SUNROOF, FRONT SPOILER, RADIO, ALL NEW TYRES, WELL MAINTAINED AND CLEAN AS SEEN

Price: 13,000,000/=

***NEGOTIABLE***
0713515537


View attachment 1205451View attachment 1205452View attachment 1205453View attachment 1205454View attachment 1205455
 
Kwa hiyo ulitaka kodi akulipie then akuuzie kwa mil 3.5 hapa wa kulaumiwa ni serikali ina kodi kubwa mno kwenye importation ya magari.
Watanzania ndio maana hatuendelei, mtu anaenda japan kulinunua gari kwa milioni 3 analileta bongo analiuza milioni 10 mpaka 15...hii ni dhuluma kabisa..mleta mada kama na wewe uko hivyo acha..
 
Kwa hiyo ulitaka kodi akulipie then akuuzie kwa mil 3.5 hapa wa kulaumiwa ni serikali ina kodi kubwa mno kwenye importation ya magari.

Sina maana hiyo...nachomaanisha wasitangulize tamaa mbele ya kutaka faida kubwa...wanatuumiza sana.
 
Back
Top Bottom