Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,798
- 156,930
Wewe una ufahamu wa magari, wengi hawajui kuwa mengine yameuzwa kwa minada baada ya kutumika serikalini vya kutodha na vikapewa namba D
Gari inaweza kuwa namba D afu kwa hiyo bei bado unaweza ukawa umepigwa... Inategemea na hali ya gari mzee usikariri namba. Zipo namba B zimepaki tu au ruti masaki ruti m city na ikawa imenyooka kuliko hizo D