Car4Sale Ingia hapa chagua Gari (Magari mazuri bei nzuri) wazee wa kulenga!

Tunzo Qualitycars

New Member
Sep 3, 2019
1
176
Kwa wapenzi wote magari mazuri kama unahitaji kumiliki gari aina yoyote ile, kila siku pitia uzi huu.. na kama sijalipost wewe nicheki kwa simu, nikupatie gari la ndoto zako.

Magari ni used hapa Tanzania na pia kama unahitaji kuagiza basi tutakuagizia toka nje ya nchi.

Magari nimengi sana yanayouzwa hasa kwa wazee wa kulenga hapa Tanzania.
Nitakua napost magari humu chaguo ni lako,

Na kama hujaona basi wasiliana nami kwasababu magari yapo mengi, huenda nisiwe nimelipost kumbe lipo. kuyapost hapa inaweza ichukue miaka mitano!

Wakuu kama nilivyosema kama sijapost hapa wewe wasiliana na mm, nahakika siwezi kukosa, Connection ni kubwa sana gari utapata.

Pia kama unahitaji kuuza gari yako, wewe wasiliana na mm au fika ofisini tukuuzie gari yako, iwe kwa sisi kununua au kukutafutia mteja

Ofisi zipo Mwenge mitaa ya Rufungira.
Fika ofisini au nichek kwa

0713415537

Pia unaweza kupitia page yangu Instergram ya
"magari_tunzo_tanzania"
kwa magari zaidi ya kila siku





Note: Magari yote bei inaongeleka!

Tuanze na chuma hiki.

Toyota Rav 4 for sale

Vehicle information:

Make: Toyota
Model: Rav 4
Year: 2001
Mileage: 100,000km
Engine size: 1990
Engine 1az
Seat capacity:5
Fuel: Petrol
Silver colour
Transmission: Automatic
Location:Mwenge
Good tyres
Full documents
Price:Milion 13M

AC | PS | ABS | AW | RSP | AUDIO | CD |

RE-MARK:
︎Gari bado Nzur sana
︎Gari iko Kwenye ubora ina muonekano mzuri

Picha zaidi whatsapp


IMG-20190911-WA0057.jpeg
IMG-20190911-WA0053.jpeg
IMG-20190911-WA0053.jpeg
IMG-20190911-WA0056.jpeg
IMG-20190911-WA0059.jpeg
 

Attachments

  • IMG-20190911-WA0058.jpeg
    IMG-20190911-WA0058.jpeg
    61.3 KB · Views: 71
  • IMG-20190911-WA0055.jpeg
    IMG-20190911-WA0055.jpeg
    64.5 KB · Views: 60
Haya yapo

Starlet CAH..............4.5m
starlet DD..............5.5m
Ist DFM ..................8.8m
Ist DFH................8m fixed
Ist DDR ...............8.2m
Ist DN.................9.5m
Vitznewmodel DM . 7.8m
Vitz old .CVB....... 5.5m
Vitz old. Cx........5m
Harrier old DMT.... 15.8m
Markx. DQH........11.5m
Crowm athlete DF..... 11.5m
Crown athlete DLS...... 12.5m


Haya magari yapo, picha nichek kwa namba yangu ya 0713415537
Hyo vits old cx nkuletee 3.5
 
Uzi haujaanzishwa kwa madhumuni ya magari hayo tu! jiongezi tu mkuu,
Pia JF kumejaa watu aina mbali mbali na wa vipato tofaut, kama kwako gari ya 3M ni kulenga, mwingine kwake 30M ni yakulenga,
Mwingine budget yake ya gari ni 200M akiona gari aina ile imetangazwa 150M na vigezo anavyohitaji basi ni ya kulenga kwake
Mkuu kulenga ni kulinganisha aina ya gari na bei inayouzwa... Labda kwa sabbu umesema hauuzi za kulenga tu wacha tusubiri ila so far bei zako ni kama za siku zote tu nothing new hapa
 
NISSAN XTRAIL FOR SALE

Vehicle information

Make: NISSAN
Model: Xtrail
Year: 2004
Mileage: 85,000
Engine size: 1990
Colour: Gray
Fuel: Petrol
Seat: Leather seats
Forg light
Transmission: Automatic
Location:Dar es salaam
Rimsport installed
Auto revers camera
Full documents
Price:Milion 12.5

AC | PS | ABS | AUDIO | RIVERS CAMER | AIRBAGS | FULL OPTION |

RE-MARKS:
Gari iko Kwenye ubora ina muonekano na haijawahi kurudiwa rangi.

View attachment 1204395View attachment 1204396View attachment 1204398View attachment 1204399View attachment 1204400View attachment 1204401
Jifikirie hapa, 7M nikutafute mkuu.
 
Mkuu tusimkadirie mteja kulenga kwako, pia sio kua gari ninazopost hapa ndio ambazo ninazo tu, zipo nyingi, wewe unahitaji gari gani,
Gari yoyote namba D mfano kuagiza kwake ni 19M
ukiuza kwa 13M umeshalenga, au unataka hiyo iuzwe 5M
Je ya 5M tulengeshe kwa 100k?
Gari inaweza kuwa namba D afu kwa hiyo bei bado unaweza ukawa umepigwa... Inategemea na hali ya gari mzee usikariri namba. Zipo namba B zimepaki tu au ruti masaki ruti m city na ikawa imenyooka kuliko hizo D
 
Back
Top Bottom