Kungarochi
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 271
- 572
Wadau wana kimataifa ningepata kupata mawzo yenu, je kama marekani ya leo ingeshindwa kwenye vita ya ukombozi dhidi ya taifa mama Uingereza, je hili taifa namba moja kwa uchumi na jeshi duniani lingekuwepo?
Na kwa wale wote walioanzisha hili vuguvugu la ukombozi kingewatokea nini?
Na kwa wale wote walioanzisha hili vuguvugu la ukombozi kingewatokea nini?