kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,301
- 12,600
Wananchi wa Zimbabwe walimzomea Rais wa South Africa wakati wa shughuli ya kumuaga Mugabe kama sehemu ya kupinga kile kilichotokea Afrika Kusini Kwa raia wa kigeni kupigwa na kuporwa mali zao na wenyeji.
Kitendo kile kama kingetokea Tanzania nini kingetokea kwa watu waliomzomea Rais Ramaphosa?
Kitendo kile kama kingetokea Tanzania nini kingetokea kwa watu waliomzomea Rais Ramaphosa?