Stahmy Junior
Member
- Mar 11, 2011
- 82
- 16
Hivi ingekuwaje kama watu wote duniani tungefanana sura? mfano wote mngekuwa na sura kama yangu..Ingekuwa poa au ndo tusingejuana?
Hivi ingekuwaje kama watu wote duniani tungefanana sura? mfano wote mngekuwa na sura kama yangu..Ingekuwa poa au ndo tusingejuana?
Tukiangalia China hawafanani ila balaa tupu...kuwatofautisha ngumu....hasa wote tuwe kama wewe...duh....sharobaro asingekuwa na kazi
kwa jinsi tu ulivyombaya sidhani kama kuna mtu angekuwa analinga
Kwel umenichoka yaan unaniponda namna hyo