Ingekuwa ww ndio msahihishaji wa huu mtihani ungefanyaje

mwamba c

JF-Expert Member
Jan 2, 2017
690
2,361
d55e6b0f0de65b136fef5a8c6084ffd9.jpg
 
Hahahahaa hapo alivyomaliza tu alienda kuhadisia wenzie jinsi alivyochana paper
 
My Godness duh, hatar sana.

Koromijeeeeeeee students, hao ni ma RC watarajiwa so wanahaki kuwa hivyo na kupata hivyo aisee
 
Kuwa Mpole.
Mwalimu yupo kwa ajili ya kusaidia wasio na uelewa kusudi waweze kuelewa. Ila bila juhudi binafsi hakuna kitu
 
Back
Top Bottom