Fene
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 2,442
- 3,404
Habari wanaJF.
Kuna mtu katika watu amepatwa kuulizwa swali kama hili na mwanawe wa darasa la nne
"Baba mbona akili yako na yangu hatufanani, una uhakika kwamba mimi ni mwanao kweli? Hii ilitokea baada mwana jana yake night alirudi home akiwa tungi na home kuzuka sitofahamu ya malumbano ya hapa na pale na wife.
Yeye kama yeye hajamjibu dogo, je ikiwa imekutokea wewe utamjibu vipi dogo, au tunamshauri vipi mwana...........
Kuna mtu katika watu amepatwa kuulizwa swali kama hili na mwanawe wa darasa la nne
"Baba mbona akili yako na yangu hatufanani, una uhakika kwamba mimi ni mwanao kweli? Hii ilitokea baada mwana jana yake night alirudi home akiwa tungi na home kuzuka sitofahamu ya malumbano ya hapa na pale na wife.
Yeye kama yeye hajamjibu dogo, je ikiwa imekutokea wewe utamjibu vipi dogo, au tunamshauri vipi mwana...........